IWAMBI
JF-Expert Member
- Dec 5, 2018
- 730
- 624
Ombaomba mambo ya club bingwa africa yanakuhusu nini??..nyie m focus huku kwenye ndondo zenu na Tukuyu starsNyie Mikia mtakimhbia tu humu, endeleeni kujifariji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ombaomba mambo ya club bingwa africa yanakuhusu nini??..nyie m focus huku kwenye ndondo zenu na Tukuyu starsNyie Mikia mtakimhbia tu humu, endeleeni kujifariji
We bwana, hasa no 2, huyu jamaa mpya bado sana, Hivi kapombe anaendeleaje?Simba ikisolve tatizo la namba nne na namba 2 safari ya nusu fainali itatimia
Kwenu nyie refa ana busara Ila kwa wenzenu refa anapendelea, kwanini hamsemi kuwa mmependelewa?Yaani kweli kabisa kama si busara za refa jana, angetuletea balaa, yaani hadi Mkude alikuwa akimuelekeza, huyu naomba kabisa asicheze kwenye mechi za Waarabu ugenini kama hatarekebishwa, ataleta majanga na kuingusha timu ambayo iko vzr sana.
Kwenu nyie refa ana busara Ila kwa wenzenu refa anapendelea, kwanini hamsemi kuwa mmependelewa?
Kocha anachezesha?Miafrika huwa cjui 2namatatizo gani hivi!! Cku zote tukicheza na waarabu wanasema waarabu wanapendelewa mara oh ni watu wa fitina! wakati kocha mwenyewe anaechezesha ni mweusi mwenzetu. Binafc Nachoona hapo ni ubaguzi wa rangi dhidi yao na c chochote.
Huyo jamaa mzoee tu. Kama sio mwarabu basi house boy wa mwarabu. We chochote utachosema kuhusu mwarabu anakuita mbaguzi. Sasa fikiria mtu anaomba game iishe sare ye anaita ubaguzi. Hopeless.
Kocha anachezesha?
Sawa mbumbumbuOmbaomba mambo ya club bingwa africa yanakuhusu nini??..nyie m focus huku kwenye ndondo zenu na Tukuyu stars
Hahaaaah gongowazi fc a.k.a ombaomba fc a.k.a mbutembute fc a.k.a roho mbaya fc😂😂😂😂😂Sawa mbumbumbu
View attachment 993900
Sina taarifa mdauWe bwana, hasa no 2, huyu jamaa mpya bado sana, Hivi kapombe anaendeleaje?