Al Ahly vs As Vital live update.

Al Ahly vs As Vital live update.

Mkuu huta amini utachokiona hapo wakuogopwa ni AS Vita tu, kwa Simba ukifunguka unaliwa kifupi Nkana walikuwa ni mlima mrefu sana kwa Simba usipuze Simba yenye international players wa nne wanaotegemewa kwenye timu za taifa Kagere, Okwi, Juko na Chama akina Kwasi, Kotei na Wawa wao hawana namba kwa kuwa wanaojua ni wengi. Alichokifanya jana Okwi na Kagere ndio utaelewa maana ya international players nyie mnawadharua wapinzani wa Simba badala ya kuwapongeza Simba kwa ushindi.
Ndivyo walivyo hao.
Mechi ya kwanza na Nkana walimsifu sana Nkana kwa kiwango kizuri.
Mechi ya pili na Nkana walimbeza Nkana Kwa kiwango kibovu.
Ni wa kuwaangalia tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kubebwa kule,kocha wa Simba asije akampanga Murshid, yaani mapema tu nyekundu itamuhusu...Sina shaka na Simba iko vzr.
Jana muamuzi kamlinda tu ilikua atugharimu,Shida ya juko hana nidhamu ya ukabaji na anakosa timing nzuri ya kumvaa opponent

Nahakika kama hatorekebisha aina ya ukabaji wake kwa mechi za ugenini atakula nyekundu na kuigharimu timu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jana muamuzi kamlinda tu ilikua atugharimu,Shida ya juko hana nidhamu ya ukabaji na anakosa timing nzuri ya kumvaa opponent

Nahakika kama hatorekebisha aina ya ukabaji wake kwa mechi za ugenini atakula nyekundu na kuigharimu timu

Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo juuko ni no 5 na wawa no 5 , juuko anavilafu vya ajabu kwenye 18, kwa nilivyomuona yule refa wa al ahly na vita mbali ya kadi hata penati anatenga, Kumbe bora Elasto.
 
Jana muamuzi kamlinda tu ilikua atugharimu,Shida ya juko hana nidhamu ya ukabaji na anakosa timing nzuri ya kumvaa opponent

Nahakika kama hatorekebisha aina ya ukabaji wake kwa mechi za ugenini atakula nyekundu na kuigharimu timu

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani kweli kabisa kama si busara za refa jana, angetuletea balaa, yaani hadi Mkude alikuwa akimuelekeza, huyu naomba kabisa asicheze kwenye mechi za Waarabu ugenini kama hatarekebishwa, ataleta majanga na kuingusha timu ambayo iko vzr sana.
 
we kiaz kweli, anaposema anataman mechi kuisha sure haihusiana na rangi ya ngozi ya mtu, Anacholenga yeye ni simba ipate mazingira mazuri mapemaa... Wangetoka suluhu inamaana wangegawana point.. wangekua nyuma ya simba point mbili wote wawil

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo jamaa mzoee tu. Kama sio mwarabu basi house boy wa mwarabu. We chochote utachosema kuhusu mwarabu anakuita mbaguzi. Sasa fikiria mtu anaomba game iishe sare ye anaita ubaguzi. Hopeless.
 
Tatizo juuko ni no 5 na wawa no 5 , juuko anavilafu vya ajabu kwenye 18, kwa nilivyomuona yule refa wa al ahly na vita mbali ya kadi hata penati anatenga, Kumbe bora Elasto.
Juuko kweli ata-cost timu one day. Hajapata tu mpinzani aliemsoma vizuri akamuelewa. Penalties zote zingekua zinapitia kwake, na pengine hata Red Cards.

Ni beki mzuri ila tabu ni kua uchezaji huu hawezi kuubadilisha, uko damuni.
 
Back
Top Bottom