Al Ahly vs Simba SC, Jumamosi: Nini maoni yako kuhusiana na mtanange huu?

Al Ahly vs Simba SC, Jumamosi: Nini maoni yako kuhusiana na mtanange huu?

.
GBWA-20190202185500.jpeg
 
Tumeshapigwa kidude kimoja!!! Beki zetu haziluki kabisa mipira ya kona na iliyokufa
 
Oooh la pili huko mnyama leo tena anapewa kiganja kingine
 
Kama Ban nipigeni tu ila uzalendo umenishinda....Piiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiga Mbwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!
 
Back
Top Bottom