OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
- Thread starter
- #21
Simba Sc wangeomba game na Al Ahl Simba Day kumuaga huyu mwamba.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo hata kusoma lugha ni changamoto kwake, tumsamehe bureNakushauri zingatia subject matter. Haya mengine ni upotevu wa muda
Wazo nzuri mno.. Ngoja tuanze kampeniSimba Sc wangeomba game na Al Ahl Simba Day kumuaga huyu mwamba.
Misukule hiyomtaanza kutumia akili lini?hamkujifunza kwa Chama?
Huoni element za ubaguzi zimeanza mapema!!?Nakushauri zingatia subject matter. Haya mengine ni upotevu wa muda
Mabilioni ya Muddy sio ya Simba aka makolokolo FCView attachment 1909685
Kwa kheri Mwamba umeipigania Simba kwa jasho na damu,hauna deni na sisi badala yake sisi unatudai thamani ya fedha ya mabilioni uliyotuingizia
Karibu Luis Jangwani kwa mkopo, ukitokea Al- Ahly
Sisi yanga tunapigwa na Rivers home and away hatuna teamIlo limeisha,sasa tumalize la timu yetu Rivers utd mechi ya home & away,ili ligi ya bongo ikianza kuwe na adabu.
Rivers nguvu moja.
Akili za ki utopolo kabisa. Al Ahly wamlipe mshahara wa Tsh 1 Bilioni kwa mwaka halafu wawape uto
Fafanua,Luis sio mwafrika wa kwanza kwenda Al AhlHuoni element za ubaguzi zimeanza mapema!!?
wale jamaa sijui kama wanatumia akili. wanawaaminisha fans wao ujingaAkili za ki utopolo kabisa. Al Ahly wamlipe mshahara wa Tsh 1 Bilioni kwa mwaka halafu wawape uto
Mnapenda vya buree sanaKaribu Luis Jangwani kwa mkopo, ukitokea Al- Ahly
pesa ninayo,nachokosa hapa ni mtu wa kumpiga machine tu. karibu utumiesisi badala yake sisi unatudai thamani ya fedha ya mabilioni
Tafuta pesa uache kushobokea pesa za wanaume...
Mchepuko wa mudi
Nitakuvalisha khanga kama mumeo Mudi niwananii wote Dada weepesa ninayo,nachokosa hapa ni mtu wa kumpiga machine tu. karibu utumie