Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Al Ahly hawana huo mdaSimba Sc wangeomba game na Al Ahl Simba Day kumuaga huyu mwamba.
sawa msemaji wa Al AhlAl Ahly hawana huo mda
Wale wanaratiba annualy, tofauti na sisi.sawa msemaji wa Al Ahl
[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1909783
[emoji2][emoji1][emoji1][emoji28]Karibu Luis Jangwani kwa mkopo, ukitokea Al- Ahly
hiyo ratiba ipo kwenye biblia?acha kujifanya mjuaji?Wale wanaratiba annualy, tofauti na sisi.
Mfano mlisema mtaenda kuweka kambi Alexandria Misri lkn mkaenda Morocco.
Kuzidi wewe eti, hautaki kuzidiwahiyo ratiba ipo kwenye biblia?acha kujifanya mjuaji?
huna uwezo wa kunizidi hata robo huwezi kunifikiaKuzidi wewe eti, hautaki kuzidiwa
Jaribu kuficha Umbumbumbu wako.huna uwezo wa kunizidi hata robo huwezi kunifikia
Hizi edit za kishamba hata juzi nilimuona haji kaedit eti yuko juu ya roof inaonekana editor wake hata pen too hajaweza kui masterKuna mashabiki wa Yanga ni Majuha sana,Wakaamini kirahisi rahisi tu Ahly watoe Billion of money kwa mchezaji halafu wampeleke Yanga kwa mkopo ni Akili ni Matope.View attachment 1909799
unachoandika kinaanika ujinga wako.nimekuuliza unaijua ratiba ya mwaka ya Al Ahl?Anayeweza kufanya hayo mabadiliko na wao au wewe? Nijibu uendelee kujianikaJaribu kuficha Umbumbumbu wako.
Huwezi kumtambia mtu ambae hata humjui wala hakujui.
Ujinga ulianza kwahiyo mjinga unamjibu ujinga ajione mwelevu kama weweunachoandika kinaanika ujinga wako.nimekuuliza unaijua ratiba ya mwaka ya Al Ahl?Anayeweza kufanya hayo mabadiliko na wao au wewe? Nijibu uendelee kujianika
ila wanaweza kuwapa kwa mkopo yanga konde boyAl Ahly hawana huo mda
Mikisone huko Al Ahly kaenda kusugua benchi. Kiwango chake bado ni kidogo sana kwa timu kubwa kama al Ahly. Ya samata yanajirudia kwake.View attachment 1909685
Aliyekuwa Mchezaji wa Simba SC Luis Miquissone Raia wa Msumbiji ametambulishwa rasmi kama Mchezaji wa Al Ahly ya Misri, mitandao mbalimbali imeripoti kwamba Miquissone atakuwa analipwa mshahara kati ya USD 40,000 hadi 50,000 (Tsh Milioni 92 - milioni 115) kwa mwezi.
Kwa kheri Mwamba umeipigania Simba kwa jasho na damu,hauna deni na sisi badala yake sisi unatudai thamani ya fedha ya mabilioni uliyotuingizia
Akipewa nafasi atapafom, ila akinyimwa atakuwa kama Bwaliya.Mikisone huko Al Ahly kaenda kusugua benchi. Kiwango chake bado ni kidogo sana kwa timu kubwa kama al Ahly. Ya samata yanajirudia kwake.
Mikisone huko Al Ahly kaenda kusugua benchi. Kiwango chake bado ni kidogo sana kwa timu kubwa kama al Ahly. Ya samata yanajirudia kwake.