Sasa hiyo ni habari mbaya . Wanaweza kutimuliwa kwenye mabweni ya hiyo shule ya kata ya misri na ukizingatia shule za misri zinakaribia kufunguliwa. Wamemweibisha aliyewaombea ufadhili shuleni hapo
uwo mda unatumia kuangaika na simba siungetumia kumtibu uyo mchezaj wen mdomo kama mkundu wa nyani uyo kwenye avata yakoTaarifa kutoka kwa afisa habari wa Al Akhdood Club.
Kuna Taarifa kutoka kwa afisa habari wa klabu ya Al -Akhdood club akilalamika kwanini Simba sc wametumia Jina na nembo yao na kusema wamecheza nao mechi.
Wanasema wao hawajacheza mechi hiyo na hawako katika jiji la Ismalia bali wako katika jiji laa Cairo wakijiandaa na Pre season hiyo timu iliofungwa Sita sio timu yao.
Simba SC hapa mlipuyanga kwa kweli. Inaabidi mtoe maelezo ili wanachama na mshabiki wenu wapate kuwaelewa
View attachment 2301872View attachment 2301873
Hiyo si sawa na ile ya wasanii wa bongo wanaobeba mabegi na kwenda kupigia picha airport na kupost kwenye social media waonekane wanasafiri kwa ndege!!!?😀
Umesahau kuweka picha ya afisa habari huyo..... Nimekusaidia kuiweka.Taarifa kutoka kwa afisa habari wa Al Akhdood Club.
Kuna Taarifa kutoka kwa afisa habari wa klabu ya Al -Akhdood club akilalamika kwanini Simba sc wametumia Jina na nembo yao na kusema wamecheza nao mechi.
Wanasema wao hawajacheza mechi hiyo na hawako katika jiji la Ismalia bali wako katika jiji laa Cairo wakijiandaa na Pre season hiyo timu iliofungwa Sita sio timu yao.
Simba SC hapa mlipuyanga kwa kweli. Inaabidi mtoe maelezo ili wanachama na mshabiki wenu wapate kuwaelewa
View attachment 2301872View attachment 2301873
Mtani juzi mmepigwa dazeni.Unahangaika sana na Simba badala ya kufatilia kambi yenu kimbiji wewe si ndio ulileta Uzi Simba kafungwa goli za aibu we Manara pamoja na kuhama Simba Bado unaipenda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila kweri embu fikili timu ya falme za kiarabu wachezaji wavae soksi tofauti angaria katika picha apoView attachment 2302029
Umemuaibisha vibaya sana.
threads zake 99% ni uwongo na uzushi , sijawahi kuona mjinga kama huyuHuyu mama anaongoza kuposr uzushi kila kukicha,mijitu mingine imeanza kushabiki mpira juzi achana nayo,akipata bwana ataacha ujinga