demigod
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 8,292
- 15,250
Taarifa kutoka kwa afisa habari wa Al Akhdood Club.
Kuna Taarifa kutoka kwa afisa habari wa klabu ya Al -Akhdood club akilalamika kwanini Simba sc wametumia Jina na nembo yao na kusema wamecheza nao mechi.
Wanasema wao hawajacheza mechi hiyo na hawako katika jiji la Ismalia bali wako katika jiji laa Cairo wakijiandaa na Pre season hiyo timu iliofungwa Sita sio timu yao.
Simba SC hapa mlipuyanga kwa kweli. Inaabidi mtoe maelezo ili wanachama na mshabiki wenu wapate kuwaelewa
View attachment 2301872View attachment 2301873
Kuna Taarifa kutoka kwa afisa habari wa klabu ya Al -Akhdood club akilalamika kwanini Simba sc wametumia Jina na nembo yao na kusema wamecheza nao mechi.
Wanasema wao hawajacheza mechi hiyo na hawako katika jiji la Ismalia bali wako katika jiji laa Cairo wakijiandaa na Pre season hiyo timu iliofungwa Sita sio timu yao.
Simba SC hapa mlipuyanga kwa kweli. Inaabidi mtoe maelezo ili wanachama na mshabiki wenu wapate kuwaelewa
View attachment 2301872View attachment 2301873