Al-Alam yaripoti hasira za Wazayuni kutokana na HAMAS kutumia gari ya Israel kukabidhi mateka

Al-Alam yaripoti hasira za Wazayuni kutokana na HAMAS kutumia gari ya Israel kukabidhi mateka

Ban Barka

Senior Member
Joined
Nov 28, 2019
Posts
162
Reaction score
134
Vyombo vya habari vya Kizayuni vimeshangaa sana baada ya kuona Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS inatumia gari jeusi ililoliteka kwa wanajeshi wa Israel katika kukabidhi wafungwa Wazayuni iliokuwa inawashikilia kwenye Ukanda wa Ghaza.

Fares Al-Sarfandi, ripota wa televisheni ya Al-Alam huko Ramallah Palestina ameripoti kuwa, vyombo vya habari vya Israel viliona gari jeusi wakati wa zoezi la kukabidhi mateka wa Israel kwa Shirika la Msalaba Mwekundu.

Kilichovutia hisia za vyombo vya habari vya Israel ni kwamba gari hiyo ilikuwa ni tofauti na magari mengine yaliyokuwa yanatumiwa na HAMAS kukabidhi mateka wa Kizayuni.

Source: Pars Today
Al-Alam yaripoti hasira za Wazayuni kutokana na HAMAS kutumia gari ya Israel kukabidhi mateka + Video - Pars Today

Al-Alam yaripoti hasira za Wazayuni kutokana na HAMAS kutumia gari ya Israel kukabidhi mateka + Video
 
WAISRAEL wanyewe walishakufa waliobaki wengi Mashoga uteule ulizikwa miaka ya 70!!! Tukiwaambia JESH Israel ni Wachumba tu kupigana awawezi zaid ya kutegemea Jesh la Anga

kubomoa majengo yanoyasababisha kufa kwa Watu wengi wasio na Hatia!! Wanatamaaa sana yakunyakua Ardhi ya Wapalestina lkn nguvu ya kutekeleza ilo ndio Tatizo kuu awana Wanategemea zaid msaada!!!
 
Vyombo vya habari vya Kizayuni vimeshangaa sana baada ya kuona Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS inatumia gari jeusi ililoliteka kwa wanajeshi wa Israel katika kukabidhi wafungwa Wazayuni iliokuwa inawashikilia kwenye Ukanda wa Ghaza.

Fares Al-Sarfandi, ripota wa televisheni ya Al-Alam huko Ramallah Palestina ameripoti kuwa, vyombo vya habari vya Israel viliona gari jeusi wakati wa zoezi la kukabidhi mateka wa Israel kwa Shirika la Msalaba Mwekundu.

Kilichovutia hisia za vyombo vya habari vya Israel ni kwamba gari hiyo ilikuwa ni tofauti na magari mengine yaliyokuwa yanatumiwa na HAMAS kukabidhi mateka wa Kizayuni.

Source: Pars Today
Al-Alam yaripoti hasira za Wazayuni kutokana na HAMAS kutumia gari ya Israel kukabidhi mateka + Video - Pars Today

Al-Alam yaripoti hasira za Wazayuni kutokana na HAMAS kutumia gari ya Israel kukabidhi mateka + Video
Wakati wa vita hakuna siku IDF walikiri kupoteza magari yao ya deraya na vifaru.
Ukweli zaidi utajulikana baadae kuhusiana na hasara zilizoingia Israel kwenye vita na Hamas
 
Back
Top Bottom