Al-Barzakh: Haya ndio Maisha ya Kaburini baada ya kufa

Hii ni kwa mujibu wa kile kitabu cha hadithi sio?
 

Acha ujinga na dini yako yamashetani na upuuzi unakili maisha baada ya kufa siri anaijua MUNGU we unaelezea umeyatoa wapi je we Uncel wa Sir GOD ama [emoji23] yaan ujinga wa waarabu unatuletea sis [emoji23] mavi yakiwa na muumini tumboni si haramu anaingia nayo msikitini akifa mavi ni haramu hayafai kuingia nayo kaburini yakamuliwe huo si ujinga
 
Hakika yote aliyoyasema allah ni ya kweli na yapo wanaobisha waache wabishe but nawasihi nyie mnaokanusha Rudini kwa allah kabla aujawafikieni msiba mzito . kuna adithi inaeleza kuna mtu alimuendea mtume muhamad s.a.w akamuuliza ewe mtume wa mungu je lipi ni jambo gumu apa duniani, mtume muhamad s.a.w akamjibu jambo gumu ni kaburi na gumu zaidi ni pale unapoliendea bila ya maandalizi ..Adhabu za kaburi zipo atakayebisha ata prove mwenyewe siku atakayokufa na kuzikwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…