Al Halal Kumng’oa Mayele Yanga

Wachezaji kibao wamesajiliwa na klabu C baada ya kuwa Kwa mkopo kwenye klabu B ambako alipelekwa na klabu A. Nadhani umeelewa, Kwa hiyo biashara ya mpira inafanyika Kwa mchezaji yoyote bila kujali yupo Kwa mkopo sijui kuthibitisha ubora wake.
 
Waongeze pesa la sivyo anaenda PSG maana nao wanamtaka! Walau paundi 560k. Hiyo pesa ya mboga labda kwa makinda wa ukoloni kama chama na Baleke kama nyongeza watapewa
 
Nasikia Bayern Munich wanamtaka maana wanataka kuachana na Sadio Mane!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…