Al Hilal anapoenda kutukung'uta mechi ijayo, naomba mtakapomtimua Gamondi timueni na wachezaji wafuatao

Ungetangaza kugombea urais wa Yanga na hizi ndiyo zikawe sera zako, kinyume na hapo umeamua kutengeneza comedy tu.
Pamoja na kuuona uzi huu kama comedy, ninapokubaliana na wewe ni sehemu moja tu ya Aziz K.
 
Hii mechi nyepesi sana kwa Yanga tarehe 26.11 amini hilo
Mechi nyepesi sana kwa yanga amini usiamini
🤣🤣🤣ninyi na kocha wena hakuna heshima na timu pinzani kazi kujificha kwenye kivuli cha tunawaheshimu wapinzani ila ndani kocha ana dharau sanaa ndio maana wanamkanda tu sahivi
 
Tarehe 26 wachezaji wa Yanga watazawadiwa sana kadi za njano na hawa (Job,Bacca,Aucho ) mmoja wao anaweza pewa red.
Dube atasema goli halipo
 
ko umguhaka hadithi umemaliz umehamia kweny mpira ongeza na dube na beleke kama vifungashio hatuwez kuwa na wachezaji hawajui kufunga mpk wapate magoli ya offside au penalty kama huyo dube wamroge asione aone mawe ili aondoke ana laana za azam kingine tuache uchawi sisi yanga na kuchoma sondano tutawaumiz watoto wa mo dewji aisee
 
Nimeamini ushabiki wa mpira hapa bongo kwa sasa umevamiwa na wapuuzi hasa kutoka mikoani, walioanza kuziona Yanga na Simba kupitia Azam tv.

Yani kupoteza mechi mbili tu, tayari anatokea mtu na dela lake mkononi hata kuchamba haja chamba anataka Gamondi afukuzwe.
Usikute hata kadi ya uanachama ya Yanga hana, achiliambali kwenda uanjani.

Ayah bhana, muna uhuru wa kuongea chochote.
 
Mkuu Sasa wewe unaujua mpira gani? Au mpaka Gamondi aingiziwe Vidole matakoni ndo uelewe uwezo wake umefika mwisho?

Kwani tarehe 26 mbali?,mashabiki wapumbavu na Wajinga kama wewe ndiyo mtaelewa ninachokimaanisha hapa!
 
Makolokwinyo mna matatizo ya kiakili!
 
Achana na hao mataira mkuu
 
Mechi 2 tu kushindwa maneno mengi ata yasokua na maana
Ndo maana watanzania wengi ni maskini sabu sio wavumilivu wanakata tamaa mapema na wanataka matokeo mazuri tu kwa kila kitu anachokifanya

Wakat mambo hayaendi ivyo ukifungwa unarudi mnakaa km timu mnajadili makosa ndo mpira ulivyo Man city kapoteza mechi 3 mfukulizo hujaona mashabiki wakilalamika wala kuleta shutuma za kuduanzi

Wabongo tujifunze mpira lakin pia tujipe kaz za kufanya maana ukiwa huna kaz ya kufanya akili na mawazo yako yote ni kuwaza mpira na kutafta furaha kutoka kwenye mpira wakat furaha inapatikana ktk vitu kibao
 
Herse atuachie timu wakat hata uwakika wa kula wiki nzima huna ata ukipewa kibabage ama nkane umlipe mshahara mwezi mmoja huwezi
 
Shabiki wa kweli wa mpira hatarajii matokeo mazuri tu, kwa sababu hakuna timu isiyofungika duniani.

Pia wachezaji sio maroboti, hivo kupitia ups & down ni jambo la kawaida, tusiudharau mchango wa ki ktk tim yetu, kisa hafanyi vzr kwa sasa.

Nb: mleta mada punguza mdomo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…