Little brain
JF-Expert Member
- Oct 31, 2020
- 4,282
- 6,303
Daaah kwa nn JF wanaruhusu taarifa potofu? Kama hzWamefungwa kweli lakini sio 3 bila, ni 3 kwa moja.
Kama wamefungwa 3-0 na academy tu ya TP Mazembe, hakuna hata haja ya kuwaheshimuAl Hilal tunawaheshimu kama timu shindani, ila hatuwaogopi.
Hahahahahahaha yaaan ushabiki kazi Sana watu Kama mmefyatuka akili baadala yake unajazwa ujiKama wamefungwa 3-0 na academy tu ya TP Mazembe, hakuna hata haja ya kuwaheshimu
Kwasababu Admin ni njaakalihatariDaaah kwa nn JF wanaruhusu taarifa potofu? Kama hz
Hatuwaogopi kabsa.Al Hilal tunawaheshimu kama timu shindani, ila hatuwaogopi.
Soon mtageuza maneno mtaanza bahasha za GSM mara hao jamaa ni wabovuwalichofanya Al hilal kinaitwa mtego,kuna mtu ametegwa hapo muda si muda atanasa kwenye mikono ya hawa waarabu.
Vipi upande wa Al Hilal je wao waliingiza timu kamili ama nao walifanya kama walivyofanya Mazembe?wachezaji 9 wa don bosco walivalishwa jezi za mazembe, don bosco ipo ligi kuu ya congo siyo mazembe b..inamilikiwa na mtoto wa moise katumbi,kocha wa mazembe kaogopa wachezaji kuumizwa maana wanne washafungiwa na caf kutocheza mechi 3 majuzi tu
Sina hakika lakini wameenda na team kamili kwa hiyo walizidiwa wamepigwa na don boscoVipi upande wa Al Hilal je wao waliingiza timu kamili ama nao walifanya kama walivyofanya Mazembe?
Usikute na wao walicheza hivi makusudi si wanajua hawa kunguru wa kijani wanajipa moyoSisi tunavyopenda mjipe moyo kwamba mtapona ukimwi
Subirini siku hiyo ndo mtatambua TP zembe B na Yanga Uto nani ana uwezo mkubwa uwanjani?Jana Al hilal wamepigwa 3 : 0 na timu ya watoto wa academy ya Tp Mazembe.
Ikumbukwe tu hawa Al Hilal ndiyo waliwapiga makolo kimoja cha nguruwe.