Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama nawaona waarabu watakavyowamanua wananchi koko.Jana Al hilal wamepigwa 3 : 0 na timu ya watoto wa academy ya Tp Mazembe.
Ikumbukwe tu hawa Al Hilal ndiyo waliwapiga makolo kimoja cha nguruwe.
Kumbe eeehKama wamefungwa 3-0 na academy tu ya TP Mazembe, hakuna hata haja ya kuwaheshimu
Mkuu unasomekea wapi?Jana Al hilal wamepigwa 3 : 0 na timu ya watoto wa academy ya Tp Mazembe.
Ikumbukwe tu hawa Al Hilal ndiyo waliwapiga makolo kimoja cha nguruwe.
Ahahahaha..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Soon mtageuza maneno mtaanza bahasha za GSM mara hao jamaa ni wabovu
[emoji23][emoji23]Kuna kademu kanategwa kaingie king kapigwe mbupu mpaka kanye, baadae kaanze kulialia