Al Jazeera hawaoni mauaji ya Ukraine wanaona Gaza tu?

Al Jazeera hawaoni mauaji ya Ukraine wanaona Gaza tu?

Al jazeera ni ya mwarabu alie muislam alie na itikadi kali alie na asili ya kumchukia mkristo na muyahudi alie na asili ya kujiona yeye ndio wa uhakika zaidi ya itikadi nyingine.

Jibu ndio hilo. Siku njema.
Hao Al Jazeera ni mouth piece ya Muslim brotherhood. Saudia ndiyo maana waliwawekea Blockade Qatar. Na sasa Saudia na UAE wameazimia kutokomeza hiyo itikadi yao kali ya kiislamu

View: https://x.com/ImtiazMadmood/status/1832014893932741088
 
Nilipenda sanaa hii channel. Sikuhizi sitaki hata kuwasikia. Kila ukifingua Gaza, Gaza, Israel

Hivi wanajeshi 600 plus Ukraine wamedanja majuzi awakusikia ama ndio masharti na vigezo kuzingatiwaa.
sasa si wanajeshi wako vitani, ingekuwa raia hiyo sasa ndio habari... by the way hata ukraine vyombo vya west vinaicover zaidi so acha aljazeera ideal na gaza maana habari ziko limited kule
 
Nilipenda sanaa hii channel. Sikuhizi sitaki hata kuwasikia. Kila ukifingua Gaza, Gaza, Israel

Hivi wanajeshi 600 plus Ukraine wamedanja majuzi awakusikia ama ndio masharti na vigezo kuzingatiwaa.
Al Jazeera ni mali ya Qatar hivyo lazima ijikite kwenye Arab world.
 
Nilipenda sanaa hii channel. Sikuhizi sitaki hata kuwasikia. Kila ukifingua Gaza, Gaza, Israel

Hivi wanajeshi 600 plus Ukraine wamedanja majuzi awakusikia ama ndio masharti na vigezo kuzingatiwaa.
Ungejua kilicho nyuma ya pazia ktk hiyo vita ya Russia na ukraine, ungemshukuru sana Putin na kumwombea maisha marefu
 
Nilipenda sanaa hii channel. Sikuhizi sitaki hata kuwasikia. Kila ukifingua Gaza, Gaza, Israel

Hivi wanajeshi 600 plus Ukraine wamedanja majuzi awakusikia ama ndio masharti na vigezo kuzingatiwaa.
Wajinga sana Kambi ilipigwa Nzima nzima kule Poltav hawasemi mashoga wanalia sana
 
Nilipenda sanaa hii channel. Sikuhizi sitaki hata kuwasikia. Kila ukifingua Gaza, Gaza, Israel

Hivi wanajeshi 600 plus Ukraine wamedanja majuzi awakusikia ama ndio masharti na vigezo kuzingatiwaa.
CNN,BBC, FRANCE 24,CGTN unaweza kunitajia chombo kipi hapo kimetangaza hivyo vifo!??
Maana usiilaumu Al-Jazeera tu.
Japo infact kweli wanakera siku hizi hawana habari zaidi ya Gaza.
 
Hii tv ya aljazeera ilifungiwa na israel kwa sababu ina udini sana inamekuwa kama mdomu wa magaidi
Israel imeifungia Al-Jazeera kwasababu inasema ukweli.
Huu ni mwaka wa nane Al-Jazeera ni chombo cha habari pekee duniani kushinda TUZO YA KIMATAIFA YA BEST FILMING AND BEST BROADCASTER.
NA HIYO TUZO IMETOLEWA NA NEW YORK TIMES NDANI YA NCHI YA MAREKANI.
Una lingine la kuropoka tukusahihishe!?
 
NI kama Chanel zote zanazo milikiwa na muslm countries wamehamia Gaza sio tu Al-Jazeera hata TR nao ndio Yale yale kuonesha waaze na Watoto.
 
Yaani mauaji ya watoto na wanawake unataka yatangazwe sawa na mauaji ya wanajeshi kwa wanajeshi,JESHI LINALOUA WATOTO NA WANAWAKE UNATAKA KULILINGANISHA NA JESHI LINALOUA WANAJESHI NA MAMRUKI WA JESHI!? KICHWANI MWAKO KUNA SHIDA.
ila waislam akil zenu mnazijua wenyew
 
Ungejua kilicho nyuma ya pazia ktk hiyo vita ya Russia na ukraine, ungemshukuru sana Putin na kumwombea maisha marefu
wajinga mpo wengi sana , ukiitoa Mongolia na North Korea je nchi gani jiran na urusi haijavamiwa na Urusi ?au haijapigana na urusi ?
 
Back
Top Bottom