Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Tuwaulize wauaji kwanini wanalenga raia tu hasa watoto na wanawake.Hii gaza pekee yake wanakaa wanawake na watoto tu mbona hili neno kama wafia dini wanalitumia sana kuwatafutia huruma wapalestina