Al Jazeera hawaoni mauaji ya Ukraine wanaona Gaza tu?

Al Jazeera hawaoni mauaji ya Ukraine wanaona Gaza tu?

wajinga mpo wengi sana , ukiitoa Mongolia na North Korea je nchi gani jiran na urusi haijavamiwa na Urusi ?au haijapigana na urusi ?
Maeekani na kundi lake la kigaidi NATO wameshavamia nchi ngapi?
 
Nilipenda sanaa hii channel. Sikuhizi sitaki hata kuwasikia. Kila ukifingua Gaza, Gaza, Israel

Hivi wanajeshi 600 plus Ukraine wamedanja majuzi awakusikia ama ndio masharti na vigezo kuzingatiwaa.
Waislamu wenzao kwanza
 
Nilipenda sanaa hii channel. Sikuhizi sitaki hata kuwasikia. Kila ukifingua Gaza, Gaza, Israel

Hivi wanajeshi 600 plus Ukraine wamedanja majuzi awakusikia ama ndio masharti na vigezo kuzingatiwaa.

Tafadhali usiwapangie cha kufanya, aljazeera sio cnn, bbc wala tbc.
 
CNN and Fox news hawaoni mauji ya wapalestina wanaona ya Ukraine tu
 
Back
Top Bottom