Al Jazeera: Hivi ndivyo Wachina wanavyotuona sisi. Nimesikitika na kuumizwa sana na Jambo hili

Vishu acha basi 😂😂, hayo maji yana patikana vipi angani🤣
 
kuna mwamba humu alileta uzi wake akiwasifia hawa majamaa na kwa kusema wao wanademocrasia ya kweli sio kama wa magharibi kwamba china kuna uhuru wa kuabudu huwez kufananisha na marekani canada au UK nikamuuliza unajua hao mapimbi wanavunja misikiti wanajenga public toilets?
nikamuuliza unawajua waislam wa unawajua waislam wa uighurs wanachotendewa hakuwahi kunijibu yule mwambo
 
Elimu wengi wetu sisi hatuna Elimu na tunaendeshwa na mihemko tu. Najua hili tatizo ni kubwa sana kwetu. Huwa tukiambiwa kitu mabarazani tunabeba hivyo hivyo na kuanza shadadia. Yaani tuna kariri kila kitu maishani. So unakuta hatuelewi anything
 
Wewe sio muislamu ni kafiri 🤣🤣yaani huamini kweny uislamu ,angalia post zako unajifanya mamluki kama ISIS hauna uislamu kaa kwa kutulia
Yes mimi ni KAFIR. na wewe ni kakafir kadogo dogo.
 


Hata mimi nawaona hivyo, achana na wa China
 
Hii si Norse mythology ya vikings jamani
 
Nyinyi na nani??
Alokwambia watanzania wote ni waislam nani?
 
Ndio ISIS nyie mnajifanya waislamu kumbe washenzi matapeli 😀 😀 😀 ..Tapeli mkubwa unajifanya muislamu
ISIS ni Waislamu kuliko wewe choka mbaya. ISIS wanapigania Maslah ya Waislamu kama mtume tu alivyokuwa anafanya miaka ile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…