Hypersonic
JF-Expert Member
- Apr 14, 2012
- 829
- 1,564
Sasa mbona umeandik wachina wanavotuona sisi, na si wanavokuona weweMiaka ya hivi karibuni tumekuwa upande sana wa China dhidi ya Wazungu. Kila sehemu tumesifia na kumtetea Mchina tukiwaponda Wazungu.
But kumbe wao wanatuona sisi ni hamnazo? Hatuna kitu? Weupe kichwani? Ni ugonjwa wa kiakili? Si sawa.
Miaka yote tunawaita wazungu makafir na wanaendelea kustawi na wanatuheshimu maana tunakimbilia nchi zao kuomba hifadhi na kutaka kuishi huko kuliko China.
But hawa wazungu hawatuoni sisi ni kama ugonjwa yaani Dini hii ya Allah na sisi na majini. Wanatuona ni kama kansa tu.
View attachment 2944391
Ndo nini hiyo?Hii si Norse mythology ya vikings jamani
Sema nyinyi waislam ndo mna huo ugonjwa wa akiliSisi ni sisi na wewe ni wewe.
Huyu jamaa ni kama amechanganyikiwaSasa mbona umeandik wachina wanavotuona sisi, na si wanavokuona wewe
Kwani sisi inaanzia wangapi? Na unajua nipo na wenzangu wangapi?Sasa mbona umeandik wachina wanavotuona sisi, na si wanavokuona wewe
Astaghafilulah... Sheikh mswalie mtume.....Sema nyinyi waislam ndo mna huo ugonjwa wa akili
Alikuona onaje vile 😄😄😄??Kuna vingine vinaaminika na ni applicable na vinasaidia kushape jamii kwa namna moja ama nyingine.
Ila kuna vingine inshitajika imani kali kuviamini, kuna jamaa aliniambia eti ule upinde wavua ni jini gani sijui shetani gani kapewa adhabu ya kutoa ulimi nje, na ile kutoa ulimi nje ni kutaka maji maana kawekwa sehemu kame sijui juani sijui wapi.
Daah nikawaza hivi huyu kaaminije hii kitu.
Wachina wako straight to the point hata ukristo unatuchelewesha sana waafrica kwenye maendeleo... Dini zinatufanya tubweteke tukiamini hatuhitaji juhudi tukimwomba tu Mungu atatupa, Rubbish.Miaka ya hivi karibuni tumekuwa upande sana wa China dhidi ya Wazungu. Kila sehemu tumesifia na kumtetea Mchina tukiwaponda Wazungu.
But kumbe wao wanatuona sisi ni hamnazo? Hatuna kitu? Weupe kichwani? Ni ugonjwa wa kiakili? Si sawa.
Miaka yote tunawaita wazungu makafir na wanaendelea kustawi na wanatuheshimu maana tunakimbilia nchi zao kuomba hifadhi na kutaka kuishi huko kuliko China.
But hawa wazungu hawatuoni sisi ni kama ugonjwa yaani Dini hii ya Allah na sisi na majini. Wanatuona ni kama kansa tu.
View attachment 2944391
Je ni uongo?Miaka ya hivi karibuni tumekuwa upande sana wa China dhidi ya Wazungu. Kila sehemu tumesifia na kumtetea Mchina tukiwaponda Wazungu.
But kumbe wao wanatuona sisi ni hamnazo? Hatuna kitu? Weupe kichwani? Ni ugonjwa wa kiakili? Si sawa.
Miaka yote tunawaita wazungu makafir na wanaendelea kustawi na wanatuheshimu maana tunakimbilia nchi zao kuomba hifadhi na kutaka kuishi huko kuliko China.
But hawa wazungu hawatuoni sisi ni kama ugonjwa yaani Dini hii ya Allah na sisi na majini. Wanatuona ni kama kansa tu.
View attachment 2944391
Kweli eeeeeeh.... Sawa sawa.Wachina wako straight to the point hata ukristo unatuchelewesha sana waafrica kwenye maendeleo... Dini zinatufanya tubweteke tukiamini hatuhitaji juhudi tukimwomba tu Mungu atatupa, Rubbish.
huo ujumbe tuma kwenye group la Madrasa, hapa tupo wapani, wabudha, wakristo, nkKwani sisi inaanzia wangapi? Na unajua nipo na wenzangu wangapi?
Wanavokuona❌
Wanavyokuona✅
Nyie wapani ndo nataka mpate ujumbehuo ujumbe tuma kwenye group la Madrasa, hapa tupo wapani, wabudha, wakristo, nk