Al Jazeera : Israel yaendeleza kichapo maeneo mbalimbali ya Gaza

Al Jazeera : Israel yaendeleza kichapo maeneo mbalimbali ya Gaza

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Al Jazeera nao wameanza kutumika? Nashindwa waelewa. Mbona hawa report vizuri hizi taarifa za Mayahudi? Hapa ni kama wanaelezea kwa furaha kupigwa kwa Maarabu.
Ritz Papa anasemaje leo?

Screenshot_2024-08-19-07-50-00-343_com.android.chrome~2.jpg


Irani inachukua muda mrefu kujipanga walishapandisha bendera Nyekundu wanasubiria nini sasa? Ustaadhi Kintinku atatuelezea mchana wa leo Ritz tukutane pale nje baada ya ibada.
 
Kuna conspiracy theory ilienea kuwa Israel walikuwa na intelligensia kuhusu tukio la October 7, 2023, lakini hawakutoa onyo kwa wananchi wake , sababu ni kuwa walitaka excuse ya kuwamaliza kabisa waPalestina. It is a conspiracy no longer..

Afrika tuna ya kwetu lkni kama yanayoendelea Sudan Kusini, na Nigeria dhidi ya Wakristo
 
Back
Top Bottom