Hamna kitu kichwani hapo , hajui hata kutafsiri na kingereza rahisi kabisa kimetumika.Mbona taarifa ni tofauti
Duh, upo serious kweli hadi kuleta hii habari?View attachment 3113240 Kwa taarifa rasmi ya Al Jazeera, waathirika wa mtafaruku huu ni Wapalestina. Kumbe Iron Dome inalinda Wayahudi vuzuri sana.
Kumbe hujui hata kusoma nenda shule acha kuiba mitihani.Haya leta idadi ya wayahudi waliokufa kwa mashambulizi ya Iran
Acha ushabiki maandazi watu wamepigwa huko mpaka wanatetemeka, watu sita wameuliwa kwa kupigwa na risasi huko lebanon mmekimbia .
Hata kutafsiri hujui .Sarcasm plus news bro!
Du mwenyewe anachangia kabisa,mtihani huu.Unajua kiingereza vizuri lakini?
Tafuta mtu akutafsirie kilichoandikwa