Al-Jazeera: Kwaashambulizi ya Makombaora ya Jana, Iran Imeua Wapalestina Zaidi Kuliko Wayahudi

View attachment 3113240 Kwa taarifa rasmi ya Al Jazeera, waathirika wa mtafaruku huu ni Wapalestina. Kumbe Iron Dome inalinda Wayahudi vuzuri sana.
Shida ni kiingereza hujui kijana.
Kwa kiswahili habari inasema makumi kwa mamia ya watu wamefariki pindi Israel ilipofanya mashambulizi Gaza.
Sasa niambie hiyo habari na kurushwa kwa makombora ya Iran vinahusianaje!??
Tuondolee uchoko hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…