Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watanzania mkoje neno ugaidi ni kama mmemezeshwa tu neno ugaid ..mtu anatetea ardh yake mna mwita gaidUtoaji wake wa habari umeegemea upande mmoja wa kupendelea kikundi cha kigaidi cha HAMAS.
Al Jazeera ni kituo cha habari cha hovyo.
Umelazimishwa kuangalia?Utoaji wake wa habari umeegemea upande mmoja wa kupendelea kikundi cha kigaidi cha HAMAS.
Al Jazeera ni kituo cha habari cha hovyo.
Uwe unajisomesomea basi ili uwe una ufahamu wa mambo, sio unajiandikia tu ugaidi ambako hata hujui maama yakeUtoaji wake wa habari umeegemea upande mmoja wa kupendelea kikundi cha kigaidi cha HAMAS.
Al Jazeera ni kituo cha habari cha hovyo.
Na CNN,BBC na FOX News ndio vituo makini?Wacha bangi.Al Jazeera ndio kituo pekee kisichopuliza filimbi ya Nchi za Magharibi.Na kwa sababu upo brainwashed lazima habari zao zikuudhi.Soma Bwashee wacha kuganda kuuza hicho kiduka hapo Bondeni Arusha. Ukiwa na upeo wa kuchanganua mambo itakuwa rahisi kuelewa. Hayati Nelson Mandela alikuwa gaidi?Kwa mujibu wa vyombo vyako vya habari alikuwa gaidi.Wewe unaamini Nelson Mandela alikuwa gaidi?Utoaji wake wa habari umeegemea upande mmoja wa kupendelea kikundi cha kigaidi cha HAMAS.
Al Jazeera ni kituo cha habari cha hovyo.