Al Merrekh 0-0 Simba | Al Hilal Stadium | CAF

Al Merrekh 0-0 Simba | Al Hilal Stadium | CAF

Al Ahl hawezi kupigwa kwao
Ndio jambo jema mana ahly akishinda basi shughuli imeisha lazima tutaenda robo fainal. Mana tuna match mbili nyumbani dhadi ya vita na Merreck na uwezo wa kuwafunga nyumbani tunao bila shaka yoyote tukipata point 4 tu tayari tusha pita.

Na kwa Hali ya kundi A jinsi ilivyo Ahly akienda Congo lazima atakaza sana hawezi kubali kupoteza kirahisi hivyo Vita ataaga mapema tu atakamiwa na Ahly kwao vile vile atakuwa na balaa zito hapa kwa mkapa.
 
Al Ahl akimpiga As Vita, Hapo tutakuwa tunahitaji point 3 tu. Maana Vita hata akishinda game zote atakuwa na point 6 jumla 9.

AS Vita ana point 3, akimaliza game ya leo atabakiza game 3 ambazo akishinda zote anapata 9 points: ukijumlisha na hizi 3 ni 12.

Mahesabu bado hayajakaa sawa.
 
Kwani Simba si tulikubaliana tunashinda kila mechi kwa kikosi chetu kipana pira Biriani 4G?
Draw ya nini tena jamani?[emoji24][emoji22]

Sent from my SM-J720F using JamiiForums mobile app
Simba imevuna ponts 4 ugenini hadi sasa jambo ambalo utopolo hawajawahi pata tangu mwaka 35 huko sijui.

Fikiria kwanza kuhusu polisi kesho mana wana jambo lao huko Arusha achana na Simba
 
AS Vita ana point 3, akimaliza game ya leo atabakiza game 3 ambazo akishinda zote anapata 9 points: ukijumlisha na hizi 3 ni 12.

Mahesabu bado hayajakaa sawa.
Mahesabu ni mazuri sana, tukipata point 4 tu zinatosha na tumebakiza mech 2 kwa Mkapa na 1 ugenini, kadri iwavyo, point 4 au hata zote 6 tunavuna. Robo fainali naiona mchana kweupeeee
 
Back
Top Bottom