Acheni udwanzi kenge nyieView attachment 2598639
Waislamu siwapangii lakini kutokana na maana mbaya ya rangi hizi ni bora tu mbadilishe hii nembo, mnatafsiriwa vibaya sana. Kibaya zaidi ni shule ya kidini bora ingekuwa ya kidunia.
Soma pia 👉👉Mamlaka za Saudi Arabia zapiga marufuki bidhaa zote zenye upinde wa mvua ikiwemo nguo na Midoli
[emoji23][emoji23]NakaziaNa ukiuona upinde wa Mvua kwenye mawingu upande ukaufute haraka
AajaaaaaaNa ukiuona upinde wa Mvua kwenye mawingu upande ukaufute haraka
Utodauti wa Upinde wa Mvua na Upinde wa LGBTQAapo mwanzo tulizoea iyo ni moja ya michoro kwenye mazingira ya watoto mfano mashuleni, alaf ata ikiwepo wao wenyew hawaelewi tafsiri yake. mimi sion shida ya iyo rainbow kabisa.
ata kwenye ile cartoon ya AKILI ipo sana
Nimecheka kisenge [emoji23]Na ukiuona upinde wa Mvua kwenye mawingu upande ukaufute haraka
Mkuu,
Dunia sio chafu, ila ni chafu endapo utafocus kuutazama Uchafu.
Kinachokutesa wewe ni kujua hizo alama zinahusika kwenye Ushoga na kisha ukahisi kila mtu anajua hilo jambo.
Tokea tunazaliwa hizo rangi zilikuwepo, na mashuleni zilifundishwa. Na hata ilikuwa ukinunua rangi ya kuchorea, basi zilikuwa zimepangwa kwa mtindo huohuo wa Upinde wa mvua. Na sababu kubwa ilikuwa ni zinapendeza machoni mwa Watoto na kuwavutia.
Yajue ya kuzingatia, ili akili yako iache kufocus kwenye Usenge.
Respect yousel
Alama na ishara huwa wanafichia kitu
Asili ya hizo rangi zilionekana huko juu mawinguni kwa hiyo ukiziona ukazifuteee, mbona kama unalia?Unajaribu kufanya jamii ione kuwa ni jambo la kawaida e??? Endelea na harakati zako za kuwaunga mkono mashoga na wasagaji
Mm sijasemea upinde wa Mvua, maana ya mpangilio huo wa rangi si mzuri kwa sasaapo mwanzo tulizoea iyo ni moja ya michoro kwenye mazingira ya watoto mfano mashuleni, alaf ata ikiwepo wao wenyew hawaelewi tafsiri yake. mimi sion shida ya iyo rainbow kabisa.
ata kwenye ile cartoon ya AKILI ipo sana
.....tuounguze mihemko.
Upinde wa mvua ukitokea angani tufanyaje