Mkuu,
Dunia sio chafu, ila ni chafu endapo utafocus kuutazama Uchafu.
Kinachokutesa wewe ni kujua hizo rangi zinahusika kwenye Ushoga na kisha ukahisi kila mtu anajua hilo jambo.
Mashuleni wanazitumia sana hizo rangi, kwasababu ni rangi zinapendeza machoni mwa Watoto na kuwavutia.
Yajue ya kuzingatia, ili akili yako iache kufocus kwenye Usenge.
Respect youself.