Gitimu Peter
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 205
- 211
Your English perished a long time ago.At the same time Kenyans claim Kdf to be the strongest army in Africa and in the world!! Withdraw your men otherwise you we perished as breads
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Your English perished a long time ago.At the same time Kenyans claim Kdf to be the strongest army in Africa and in the world!! Withdraw your men otherwise you we perished as breads
Though Alshabaab uses propaganda war like the ElCade, watch this video and see how they were smashed but yet claimed a lot!!
Nini RPG?Mkasi tu unatosha kukata uzio wa waya!wapo busy kujenga ukuta wa waya!!
hahaha Akili zingine bwana!!
RPG moja inafumua waya na kuacha njia
wanaume wanajipitia kiurahisi!!
Madaktari wamegoma wananchi wanajifia
wenyewe wanajipitishia mpango wa DILI!!
Alshabaab wapo Kenya
huo uzio nikupoteza muda tu
Citizen inasema 9 kdf killed na over 70 al shabab dead na muache propaganda. Kdf sisi tabloid ya kuandika kila kitu inafanyika Somalia
sometimes wanafuatwa na kuchapwa viboko lakini wana vichwa vigumuHuwa najilizaga maswalihaya. Hao al shabab wananguvu kiasigani?,
Kwanini hawafuatwi hukokwenye chimbolao?,
Nani anawahudumia chakula, silaha, na mafunzio, yani wamejificha wapi hasa pasipo julikana.
Lazima kuna kituhapa ambacho hatukijui.
Dah motochini nimeangalia hii video hadi machoz yamenidondoka. Jamaa kaongea kwa hisia huruma na hizuni sana. Sitamsahau katika maombi yangu. Bwana amlinde
aise kupambana na mijitu kama hii ambayo haigopi kufa ni ngumu. Ni taifa pekee la Mungu wa Kweli tu ISRAEL Ndio wanajua kuyadhibitihawa wakenya wa ajabu sana kama ni style ile ile watu wanalipua lango wanaingia ndani wao wanakua wapi? ina maana hajajifunza hii ni mara ya 3 sasa dizain ile ile? hawakuchukua hatua ktk izo kambi zingine kujua wanaweza vamiwa kwa style hii? alafu inaonekana intelligence ni ndogo sana watu hadi wanajikusanya wamelala tu fo fo fo kama mapono acha yakungutwe tu wanajeshi gani hawa very incompetence 3 times mnavamiwa na watu wana ak 47 na wana over run base!
Allah sio mungu, wala usisumbuke nao, si tunamjua mungu muweza yote ,"JEHOVAH" full stopAcha kumsanifu Mungu mkuu.
Lama kawaida yenu nyinyi wa TZ muna udini sana. Afadhali na Kenya lakini nyinyi WaTZ munapoelekea na hasa wakristo sijui ni kwa nini wanachukia Uislam tuwaulize wanewakosea kitu gani. Ni mada ya magaidi kuvamia kambi. Wa TZ mnaweza udini hivi hii Jamaa imefurahi na anadhihaki MunguAtukuzwe Allah.