Al-Shaabab wakiri kufanya shambulio na kudai wameua wanajeshi 57 wa Kenya

Al-Shaabab wakiri kufanya shambulio na kudai wameua wanajeshi 57 wa Kenya

hii dini ya allah bora kama kuna uwezekano ingepigwa marufuku duniani kote.
Mbona ishapigwa marufuku siku nyingi sana mkuu lakini aisee sijui ina maajabu gani maana bado ipo tu na watu wanaendelea kumiminika kuikubali hata huko Marekani na Ulaya, aisee me mwenyewe nashangaa babaake, ina nguvu gani?
 
Unaposema hivyo una maana gani?
Nikisema hivi nitakuwa nimekosea?

"Not all MUSLIMS are TERRORISTS
But ALL TERRORISTS are MUSLIMS"/

"Waislamu wote SI MAGAIDI
Lakini MAGAIDI wote ni WAISLAMU"
Hivi kwa mfano ukigundua mwanao au baba yako au kaka yako ni shoga au ni terrorists ipi itakuuma sana?
 
Kwanza huo upumbavu wanini
kujisubua kwa faida ya mkenya au mmatekani hatuwezi
nyie komaeni tu
Kila siku watanzania hupenda kujisufia kukomboa Africa,
Waafrica, haswa EA walijiunga kukomboa Somalia,, kila nchi kuu ndani ya EA(Kenya, Ethiopia,Uganda) ime train wanajeshi wa Somalia ili wakajenge Somalia , ilipofika wakati WA tz Ku train angalau wanajeshi 1000, Tanzania ikakubali, alafu baada ya vitisho kadhaa kutoka kwa ma kamanda wa alshabaab, Tanzania ikageuza Na kusema hawataweza Ku train wanajeshi wa Somalia, we mwenyewe jiulize kwanini viongozi wenu waligeuza
 
Let's begin with the founder of ISLAM he TERRORISED MECCA and the Arab Penninsula.
KILLING people and taking their foods forcefully. Sasa hii tutaiitaje?
Alikuwa anatafuta MTAJI ama ni UGAIDI?
, ambao wafuasi wake wake WAMERITHI na kuu PERFECT

WAISLAM wote SI MAGAIDI
Lakini MAGAIDI wote ni WAISLAM.
This is not ALTERNATIVE fact
But rather absolute TRUTH!!!!!
Aisee huyo founder ni shida sana and not a normal human being, more than 14k years ago and yet his foundation is shaking great nations combined together, his foundation is still so largely shaking the minds of billions of people around the globe, I wonder what is it he taught that is so everlasting? What is it he taught that can't be defeated by great nations combined together? What was his name again? Or yes Muhammad (his followers say peace be upon him everytime his name is mentioned ), i want to study about this guy coz i can't imagine how could one illiterate man's ideas be so profound as to shake greatly the entire world forever, and i heard despite from being illiterate he was also "mchumba mbuzi" and he founded his ideas more than 14k years ago and only for 23 years of time, so in short ideas founded by one illiterate man who was "mchunga mbuzi" and only for 23 years are now shaking the world forever,
 
Aisee huyo founder ni shida sana and not a normal human being, more than 14k years ago and yet his foundation is shaking great nations combined together, his foundation is still so largely shaking the minds of billions of people around the globe, I wonder what is it he taught that is so everlasting? What is it he taught that can't be defeated by great nations combined together? What was his name again? Or yes Muhammad (his followers say peace be upon him everytime his name is mentioned ), i want to study about this guy coz i can't imagine how could one illiterate man's ideas be so profound as to shake greatly the entire world forever, and i heard despite from being illiterate he was also "mchumba mbuzi" and he founded his ideas more than 14k years ago and only for 23 years of time, so in short ideas founded by one illiterate man who was "mchunga mbuzi" and only for 23 years are now shaking the world forever,
1000 million dollar likes for your comment
 
Moja ya haya mataifa makubwa lazima watakuwa nyuma ya hao Alshabab ,ila kwa malengo gani ndio najaribu kutafuta majibu

Kuna mengi yanafanyika dunia hii ni tofauti kabisa na kile tunacho aminishwa

Dunia ina mengi
Ndio maana tunawashauri wakenya waondoe wanajeshi wao Somali, wasiendelee kuwa wajinga.
 
6305ed16032b53c9132613aba5aec387.jpg
inasikitisha sana lakini wenyewe still hawashauriki kila wakiambiwa waondoe majeshi yao hawataki
 
Aisee huyo founder ni shida sana and not a normal human being, more than 14k years ago and yet his foundation is shaking great nations combined together, his foundation is still so largely shaking the minds of billions of people around the globe, I wonder what is it he taught that is so everlasting? What is it he taught that can't be defeated by great nations combined together? What was his name again? Or yes Muhammad (his followers say peace be upon him everytime his name is mentioned ), i want to study about this guy coz i can't imagine how could one illiterate man's ideas be so profound as to shake greatly the entire world forever, and i heard despite from being illiterate he was also "mchumba mbuzi" and he founded his ideas more than 14k years ago and only for 23 years of time, so in short ideas founded by one illiterate man who was "mchunga mbuzi" and only for 23 years are now shaking the world forever,
I concur with you 100% that, his misplaced THEOLOGY and ZERO knowledge of a TRUE God, made him advocate and propagate his RELIGION.
Based on HATE not PEACE as you allude.

Consequently bringing this MISERY we are seeing today.
I would rather follow the true God than an EMPTY RELIGION.
For religion is bankrupt and has nothing to offer.
It is when someone's eyes get opened up By Jesus Christ then and there The meaning of PEACE comes to fruition.
Mambo mengine mkuu tusijidanganye. Huo ndo ukweli wa mambo.
 
Understanding Terrorism.

1. Ugaidi ni uhalifu kama uhalifu mwingine.

2. kushabikia ugaidi unakuweka kwenye nafasi kubwa ya kuwatumikia magaidi.

3. Magaidi hawana mbinu za medani kutosha kuendesha vita vya ana kwa ana (huwa ni waoga kutekeleza vita hivyo kwa kuwa watashindwa tu huchagua mbizu za kuvizia ) ndio mana hushambulia.

4.Dini kwao ni mbinu ya kuwapata loyal folowers in a cheap way kwa kuwa kwenye Dini unaaminishwa ukweli usiotaka kuhojiwa. Disbeliving is a sin. Wanatumia pia vifungu vya dini kwa tafsiri wanaotaka waumini wao waielewe na sio vinginevyo. kwao Dini na mwenyezimungu ni Daraja la kufikia ajenda zao za siri za kutenda uovu duniani.

5.Gaidi hana utu wakishakulevya na dini pia unakuwa mnyama ka wao ni jana tu wameanza kutumia watoto wachanga somalia kama mbinu ya kuwabebesha mabomu na kuwaua. hivyo Gaidi hajali hata haki ya kuishi ambayo mwenyezimungu kwenye Quran anaisisitiza.

6. Si wakati wa kulaumu kuwa uislamu ni ugaidi kwa kuwa hata ukiwa imani nyingine utapewa mafundisho ya ugaidi na sio mafundisho ya uislamu. Ugaidi ni harakati zinazopingana na Haki za binadamu na vitabu vyote vya Mwenyezi Mungu.

TUFANYE NINI?

TOA TAARIFA POLISI HARAKA IWEZEKANAVYO PINDI UONAPO VIASHIRIA VYA UGAIDI IWE KWA NDUGU YAKO AU JIRANI YAKO

kumbuka Asipokudhuru wewe atadhuru familia yako.

7. Ugaidi ni uhalifu usimchukie mtu kwa imani yake bali chukia matendo yake. mwenendo wa ugaidi ni kinyume na ustaarabu wa Watanzania kwa pamoja tunaweza tupige vita Ugaidi kwa kutoa Taarifa kwenye Mamlaka husika.

Mungu warehemu askari wa kenya waliotangulia mbele ya Haki.
 
hawa wakenya wa ajabu sana kama ni style ile ile watu wanalipua lango wanaingia ndani wao wanakua wapi? ina maana hajajifunza hii ni mara ya 3 sasa dizain ile ile? hawakuchukua hatua ktk izo kambi zingine kujua wanaweza vamiwa kwa style hii? alafu inaonekana intelligence ni ndogo sana watu hadi wanajikusanya wamelala tu fo fo fo kama mapono acha yakungutwe tu wanajeshi gani hawa very incompetence 3 times mnavamiwa na watu wana ak 47 na wana over run base!
KDF = FFU
 
Kila siku watanzania hupenda kujisufia kukomboa Africa,
Waafrica, haswa EA walijiunga kukomboa Somalia,, kila nchi kuu ndani ya EA(Kenya, Ethiopia,Uganda) ime train wanajeshi wa Somalia ili wakajenge Somalia , ilipofika wakati WA tz Ku train angalau wanajeshi 1000, Tanzania ikakubali, alafu baada ya vitisho kadhaa kutoka kwa ma kamanda wa alshabaab, Tanzania ikageuza Na kusema hawataweza Ku train wanajeshi wa Somalia, we mwenyewe jiulize kwanini viongozi wenu waligeuza

Tanzania huwa tuna angalia hasara kwanza kabla yakujipeleka kichwa kichwa!!
baada ya ukombozi
hatujaona faida kwetu
tulio wasaidia ndio hao wanatuona wapuuzi.
Tulipiga kelele watanzania kutojihusisha na Somalia
ya Somalia hayatuhusu kwa kiasi fulani,
Kuingia Somalia nikuwasaidia wakenya na Bwana zao Wazungu!!
Linda mipaka yenu
imalisha ulinzi ndani ya nchi yako
kuingia somali na Jeshi la hovyo kama KDF
nikupoteza muda.
 
Tanzania huwa tuna angalia hasara kwanza kabla yakujipeleka kichwa kichwa!!
baada ya ukombozi
hatujaona faida kwetu
tulio wasaidia ndio hao wanatuona wapuuzi.
Tulipiga kelele watanzania kutojihusisha na Somalia
ya Somalia hayatuhusu kwa kiasi fulani,
Kuingia Somalia nikuwasaidia wakenya na Bwana zao Wazungu!!
Linda mipaka yenu
imalisha ulinzi ndani ya nchi yako
kuingia somali na Jeshi la hovyo kama KDF
nikupoteza muda.
Unakaa haukumbuki kuanzia 2005-2011 port ya mombasa ilikua iko karibu kuwa unviable, tulikua tunalipishwa tax kwa bidhaa yoyote eti cost of insuarance kwasababu ya piracy....... meli zilikua zinatekwa nyara karibu kila mwezi, pirates hawa walikua wanafanyikiwa sababu ndani ya somalia ilikua hakuna serikali, kwahivyo wakichoka wanarudi ndani ya somalia na kupumzika.....

alafu umesahau alshabaab wakivamia vituo vya utalii karibu na mipaka?

pia umesahau wakati huo ndo tulikua tunaanza project ya lapsset ambayo ni project ya $29B na wawekezaji walikataa juwekeza kama somalia next door iko unpredictable?????

Umesahau kabla kenya kuingia somalia tulizunguka dunia nzima tukiomba nchi za kimataifa kuisadia somalia kwani ilikua inatudhuru kiuchumi.... na huo mda wote walikua hawatusikizi,



Kenya haiwezi endelea na project zake za kiuchumi ikiwa somalia ingeendelea bila serikali, mwishowe tungerudi pale pale tu, afadhali tuishughulikie somalia once and for all, wasije tupatia shida mbeleni wakati tumeshawekeza mabilioni ya pesa karibu na mipaka ya somalia
Kumbuka somalia haikuingilia kenya kwa miaka 30,walikua hawatudhuru sana kuisalama, tulikua tunaweza kuvumilia mahamia wakivuka mpaka kila siku....lakini ikazidi ikawa hatuna usalama tena, wakaanza kuteka nyara hadi wafanyikazi wa aid org
 
Someone update this thread na true facts ...picha zimesurface 2 kdf soldiers killed and 70 alshabaab ...Tazanians can stop having orgarsms now
 
Unakaa haukumbuki kuanzia 2005-2011 port ya mombasa ilikua iko karibu kuwa unviable, tulikua tunalipishwa tax kwa bidhaa yoyote eti cost of insuarance kwasababu ya piracy....... meli zilikua zinatekwa nyara karibu kila mwezi, pirates hawa walikua wanafanyikiwa sababu ndani ya somalia ilikua hakuna serikali, kwahivyo wakichoka wanarudi ndani ya somalia na kupumzika.....

alafu umesahau alshabaab wakivamia vituo vya utalii karibu na mipaka?

pia umesahau wakati huo ndo tulikua tunaanza project ya lapsset ambayo ni project ya $29B na wawekezaji walikataa juwekeza kama somalia next door iko unpredictable?????

Umesahau kabla kenya kuingia somalia tulizunguka dunia nzima tukiomba nchi za kimataifa kuisadia somalia kwani ilikua inatudhuru kiuchumi.... na huo mda wote walikua hawatusikizi,



Kenya haiwezi endelea na project zake za kiuchumi ikiwa somalia ingeendelea bila serikali, mwishowe tungerudi pale pale tu, afadhali tuishughulikie somalia once and for all, wasije tupatia shida mbeleni wakati tumeshawekeza mabilioni ya pesa karibu na mipaka ya somalia
Kumbuka somalia haikuingilia kenya kwa miaka 30,walikua hawatudhuru sana kuisalama, tulikua tunaweza kuvumilia mahamia wakivuka mpaka kila siku....lakini ikazidi ikawa hatuna usalama tena, wakaanza kuteka nyara hadi wafanyikazi wa aid org
Very true..
 
The fact is ..if somali falls ,kenya falls and that is doom to EAC yote
 
Back
Top Bottom