Al-Shaabab wakiri kufanya shambulio na kudai wameua wanajeshi 57 wa Kenya

Al-Shaabab wakiri kufanya shambulio na kudai wameua wanajeshi 57 wa Kenya

Lama kawaida yenu nyinyi wa TZ muna udini sana. Afadhali na Kenya lakini nyinyi WaTZ munapoelekea na hasa wakristo sijui ni kwa nini wanachukia Uislam tuwaulize wanewakosea kitu gani. Ni mada ya magaidi kuvamia kambi. Wa TZ mnaweza udini hivi hii Jamaa imefurahi na anadhihaki Mungu
WAISLAM wote SI MAGAIDI
Lakini MAGAIDI wote ni WAISLAM!
 
Mkuu, hatuwezi kuwalaumu Wakenya. Hawa magaidi walikuja na lori lililokuwa limejazwa mabomu na walikuwa WENGI sana kila upande. Walilipua lori lao wakajiua ndo magaidi wengine wakafanya uovu huo.
Si intelijensia mbaya, bali vita vya kuvizia ni tofauti na vita vya kawaida!
Pengine wazo zuri.
Wakenya watoke tu kama walivyojitoa Sudani ya Kusini.
Ili Wasomali wenyewe kwa kuwa hawataki AMANI, waachwe WAMALIZANE,maana Hawajui umuhimu wa AMANI.
Kenya haitakuwa salama hata ikiondoka Somalia. Kilichowafanya zaidi Kenya waingie ni hao magaidi kuingia Kenya na kuwashambulia watalii kwenye miji ya Pwani ya kaskazini mwa Kenya.
 

Let's begin with the founder of ISLAM he TERRORISED MECCA and the Arab Penninsula.
KILLING people and taking their foods forcefully. Sasa hii tutaiitaje?
Alikuwa anatafuta MTAJI ama ni UGAIDI?
, ambao wafuasi wake wake WAMERITHI na kuu PERFECT

WAISLAM wote SI MAGAIDI
Lakini MAGAIDI wote ni WAISLAM.
This is not ALTERNATIVE fact
But rather absolute TRUTH!!!!!
 
Let's begin with the founder of ISLAM he TERRORISED MECCA and the Arab Penninsula.
KILLING people and taking their foods forcefully. Sasa hii tutaiitaje?
Alikuwa anatafuta MTAJI ama ni UGAIDI?
, ambao wafuasi wake wake WAMERITHI na kuu PERFECT

WAISLAM wote SI MAGAIDI
Lakini MAGAIDI wote ni WAISLAM.
This is not ALTERNATIVE fact
But rather absolute TRUTH!!!!!
Kama Avatar yako inafanya kazi ni rahisi sana kuelewa kwamba "Muslims Are The Victims Of Terrorism" ila kama una kremu unachosikia kwenye media endelea tu kremu
 
Just ignore them, umenotice hawa majamaa wanajaza meffi kwa hii thread wamekua inactive tangu habari ya mwisho ya tanzia, watatoa mharo yao yote then warudi chini mawaba.
Wakisikia tu tena alshabaab au habari ya tanzia...hao mbio tena watoe mharo yao yote then wapotee.
52201de34e363149e47123cd4631c930.jpg
 
hawa wakenya wa ajabu sana kama ni style ile ile watu wanalipua lango wanaingia ndani wao wanakua wapi? ina maana hajajifunza hii ni mara ya 3 sasa dizain ile ile? hawakuchukua hatua ktk izo kambi zingine kujua wanaweza vamiwa kwa style hii? alafu inaonekana intelligence ni ndogo sana watu hadi wanajikusanya wamelala tu fo fo fo kama mapono acha yakungutwe tu wanajeshi gani hawa very incompetence 3 times mnavamiwa na watu wana ak 47 na wana over run base!
kama intelligence yao ndogo na nyie pelekeni jeshi lenu.
 
JWTZ haina experience kupigana Na magaidi, watanzania wengi Sana wamejiunga Na alshabaab, siku mkiamua kuingia Somalia mashambulizi ya kwanza yataanza ndania ya tz yenyewe.... Afadhali uliize kwanini mataifa Kama aljeria Na misri hazimo ndani ya Somalia
Kwanza huo upumbavu wanini
kujisubua kwa faida ya mkenya au mmatekani hatuwezi
nyie komaeni tu
 
It is not out of choice that the larger section of the Kenyan public has opted to believe the Alshbb claims and to regard the KDF statements with cynicism. This is all owing to the DoD's policy of being non-committal with the information that the Kenyan pipo badly need regarding the operations in Somalia, and most importantly regarding the aftermath of such attacks on the Kenyan forces there. They are blundering quite badly in this.

Remember them times how they would almost promptly release very well articulated statements in the media and via their internet accounts, complete with footages/fotos of the fallen enemy fighters splashed all over for all to see? Gone are the days when they would even have the press-men embedded within their ranks during their combats in Somalia.
Why is it that they are now dispensing the information in such tiny trickles? They are in effect feeding this widespread public cynicism; the growing doubt regarding their efficacy in wiping out the militants.
Kdf has never failed to release the number of casualties in Somalia. The fact that the El Adde attacks happened and the government decided to compensate families quietly without releasing the figures to the public shows only one thing; it was a massive blow. Becoming pessimistic on the government figures is understandable but running away with Alshabab stated figures is abit too exuberant imo.
Okay the attack happened yesterday and AS said they overran the camp and killed 57 kenyan soldiers?
KDF has confirmed 9 fatalities while they killed 70 AS. I choose to believe the KDF side history notwithstanding and contend that the number of those vermin killed was still too small for comfort.
 
Attack on the KDF is not because they don't know how to fight, but since they joined Amison, the comand chain changed and sometimes it has been difficult to lay out operations as they know it better! Before Kenya joined Amison, no Kenyan soldier had died, they removed Alshabaab from Kismayu over night without a single injury!!!

They swept the whole of Jubaland in a month without any injury, so basically, it is the command problems rather than failure in their fighting!!!

Lakini Watanzania hii furaha yao juu ya mambo ya Ugaidi sielewi, video hii inadokeza Vijana wakitanzania wakiwemo kwenye hili kundi la kigaidi!! Jamani Watanzania hapa sikudhani mneandika vitu ambavyo naona unless iwe mnasurpport mambo kama haya!!

Command Problem how can it be differentiated from fighting problem?! [emoji57] [emoji57]

Siasa nyingine bwana sasa tofauti yake ni nini?
 
Back
Top Bottom