Al-Shabaab attacks Kapenguria Police Station, 6 Officers feared dead

Al-Shabaab attacks Kapenguria Police Station, 6 Officers feared dead

Wakenya inabidi muungane bila kujali dini, kabila au rangi muishinikize serikali yenu ikae chini na hawa Wasomali mmalize matatizo.

Hakuna vita isiyoishia kwa muafaka hususan hii ya kujitakia.

Wakenya takriban asilimia 20 wana asili ya kisomali hivi bila kukaa nao chini mnafikiri mtawamaliza?

Wakubwa zenu huko Kenya wanafaidika kwa hii vita kuendelea, nyinyi raia wa kawaida ndiyo mnaotaabika na kuadhibika kila kukicha.

Hakuna raha ya kuishi kama kuwa na amani na utulivu na hilo kwa sasa Kenya ni ndoto kwani kila ukikutana na msomali roho inakudunda kwa kukosa amani, labda huyu.

Kubalini yaishe.
Duu yaani waitishe kikao na Al shabab ili wajadili tofauti zao?
 
Kwa kweli. Haya turudi msibani.

Huyo jamaa akipatikana sijui watamfanya nini aisee. Maana Al-shabaab ni security threat namba moja Kenya. Wamnyang'anye tu silaha yake haraka haraka!
Mkuu !! tatizo siyo silaha ...mbona bidhaa hizo zimefurika sokoni na kila siku viwanda vinaProduce hi-tech weapons na kuwauzia makundi/magenge/waasi/wapinzani nk...
biashara imeshimiri na salesmen wao ni balozizao!!
 
Tatizo la kenya haliwezi kuisha ilhali KDF wako somalia na nguvu ya silaha haimalizi tatizo..!

Kwasababu kenya bado wanaomba msaada wa kupambana na al-shabab kwa mataifa ya nje.. na al-shabab nao wanasema hawarudi nyuma.

Sasa kama watu wanataka usalama na nguvu ya kijeshi toka 2011 hakuna chochote zaidi watu wasiokuwa na hatia kuuliwa, kwanini basi wasitafute njia nyingine isiyo kuwa hili ya vita?

Maana kila wakati tunasikia al-shabab 200 wameuliwa au 100 wameuliwa mbona hawaishi basi kuna nini hapo..!?
 
Alshaabab si wasomali pekee. Kuna wa asilia ya kikenya, kitanzania na kadhalika.

Kumbuka kuwa Al Shabab ni kikundi cha Wasomali na kama kuna Wakenya, Watanzania, Wazungu wanaokwenda kuwasaidia jiulize kwanini? Labda ukijuwa kwanini, utaanza kuishinikiza serikali yako ikaenao chini wayamalize. Hii vita na Al Shabab haina mwisho mwema kwa Kenya kama haijamalizwa kwa amani na masikilizano.

Wasomali waliotapakaa dunia nzima kwa ukimbizi wameshakuwa ni adui zenu directly au indirectly.
 
Wakenya inabidi muungane bila kujali dini, kabila au rangi muishinikize serikali yenu ikae chini na hawa Wasomali mmalize matatizo.

Hakuna vita isiyoishia kwa muafaka hususan hii ya kujitakia.

Wakenya takriban asilimia 20 wana asili ya kisomali hivi bila kukaa nao chini mnafikiri mtawamaliza?

Wakubwa zenu huko Kenya wanafaidika kwa hii vita kuendelea, nyinyi raia wa kawaida ndiyo mnaotaabika na kuadhibika kila kukicha.

Hakuna raha ya kuishi kama kuwa na amani na utulivu na hilo kwa sasa Kenya ni ndoto kwani kila ukikutana na msomali roho inakudunda kwa kukosa amani, labda huyu.

Kubalini yaishe.

Kauli kama hii ndiyo ilimfanya Kagame akataka kumtwanga Kikwete
 
Dada usiwe mwepesi wa kujibu na kukurupuka bila kuwa na uhakika wowote. Hao ni kitengo cha polisi cha administration police ama GSU, wanvaa sare za kijeshijeshi.

Pili usione tukio kama hiki ukadhani taswira full ya nchi, sisi wote mahali tulipo hatujui kisa kamili, na usiwatukane wala kudunisha uwezo wa polisi wetu. Aina ya tukio kama hizi, haswa wanapowakabidhi majangili sugu, ni kawaida popote duniani.

Tatu, subiri ripoti rasmi itolewe.

Kaka!...sikumjibu huyo kwa kuwa nawajua hawa,wamo humu kuendeleza kejeli zao dhidhi ya wanaohangaishwa na ugaidi duniani.
Juzi wenzao wamelipua huku Saudia....tena ndani ya mji mtakatifu wao Madina.....kote duniani, siyo Syria,Nigeria,Misri,Utruruki,MAREKANI,Ufaransa,Australia,Tunisia,Libya,Iraq,Afghanistan,Canada hata juzi karibia Afrika Kusini n.k
Ni maajabu sana,dunia ya sasa iliyojaa ugaidi kuona jirani tena wa mpakani kabisa kukejeli jirani mwenzake kwenya maswala ya usalama.
Ukosefu wa usalama Somalia imepelekea hali kutokua shwari ukanda huu, sidhani kama Zanzibar ipo ulaya vile hata Tanganyika hii hii ya kichochole.
Ni mda tu itawahusu pia....wapo vijana wa kitanzania kwenye makundi haya.

Be careful always what you wish, karma is a bitch.
 
Kauli kama hii ndiyo ilimfanya Kagame akataka kumtwanga Kikwete
Kwa taarifa yako.. silaha haileti amani zaidi ya maafa na visasi vya muda mrefu na kupatikana wakimbizi tu

Vita vyote vinavyoendelea duniani maafa ni makubwa kuliko manufaa.. Tafakari..!
 
Kumbuka kuwa Al Shabab ni kikundi cha Wasomali na kama kuna Wakenya, Watanzania, Wazungu wanaokwenda kuwasaidia jiulize kwanini? Labda ukijuwa kwanini, utaanza kuishinikiza serikali yako ikaenao chini wayamalize. Hii vita na Al Shabab haina mwisho mwema kwa Kenya kama haijamalizwa kwa amani na masikilizano.

Wasomali waliotapakaa dunia nzima kwa ukimbizi wameshakuwa ni adui zenu directly au indirectly.
Kumbuka tanga pia kuna ISIS hata wametoa kanda nyingi za video kuwatambulisha hilo. sasa nyinyi mkilalia maskio mtajipata hamna tofauti na iraq na sirya.
All they want is to live under sharia law and kill anyone that oposses islam and anything that contradicts there "teachings".
 
Polisi wa Kenya ni walaini sana.. Wanaweza tu kupiga watu wakiandamana.. Wakikutana na vidume wenzao kimyaa
 
Kumbuka tanga pia kuna ISIS hata wametoa kanda nyingi za video kuwatambulisha hilo. sasa nyinyi mkilalia maskio mtajipata hamna tofauti na iraq na sirya.
All they want is to live under sharia law and kill anyone that oposses islam and anything that contradicts there "teachings".

Huyo umpeaye mawaidha ni mmoja wao!.....nimjuavyo atakua na farhan isiyo na kifani kukitokea hali kama hiyo tanga/nyika.


kelb wahed!
 
Wakenya inabidi muungane bila kujali dini, kabila au rangi muishinikize serikali yenu ikae chini na hawa Wasomali mmalize matatizo.

Hakuna vita isiyoishia kwa muafaka hususan hii ya kujitakia.

Wakenya takriban asilimia 20 wana asili ya kisomali hivi bila kukaa nao chini mnafikiri mtawamaliza?

Wakubwa zenu huko Kenya wanafaidika kwa hii vita kuendelea, nyinyi raia wa kawaida ndiyo mnaotaabika na kuadhibika kila kukicha.

Hakuna raha ya kuishi kama kuwa na amani na utulivu na hilo kwa sasa Kenya ni ndoto kwani kila ukikutana na msomali roho inakudunda kwa kukosa amani, labda huyu.

Kubalini yaishe.
Akhsante bibi kizee umemaliza kila kitu kwa hikma ya hali ya juu,
Tafadhali mfungo umeisha nakualika kwa kitwanga za bardiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Tatizo la kenya haliwezi kuisha ilhali KDF wako somalia na nguvu ya silaha haimalizi tatizo..!

Kwasababu kenya bado wanaomba msaada wa kupambana na al-shabab kwa mataifa ya nje.. na al-shabab nao wanasema hawarudi nyuma.

Sasa kama watu wanataka usalama na nguvu ya kijeshi toka 2011 hakuna chochote zaidi watu wasiokuwa na hatia kuuliwa, kwanini basi wasitafute njia nyingine isiyo kuwa hili ya vita?

Maana kila wakati tunasikia al-shabab 200 wameuliwa au 100 wameuliwa mbona hawaishi basi kuna nini hapo..!?
Dont be so petty. Before 2011 we did not have our troops in somalia and they still invaded our territory threatening our lives, economy and everything that we stood for and what we are still trying so hard to achieve. I believe u guys do not border somalia if u did you would probably know whats at stake here.
 
Polisi wa Kenya ni walaini sana.. Wanaweza tu kupiga watu wakiandamana.. Wakikutana na vidume wenzao kimyaa
Gsu ni wa laini sio? Ebu do some research on your own alafu uone. Ata usiende mbali. Do u still remember the zanzibar uprising? Just geuss ni kina nani walioitwa kuja kuregeshaeta amani all the way from kenya.

As a matter of fact those guys pia are the ones who prevented attempted coup back in 1982. And in 1986 they faught off UPDF after illegally crossing our boders.
 
Dont be so petty. Before 2011 we did not have our troops in somalia and they still invaded our territory threatening our lives, economy and everything that we stood for and what we are still trying so hard to achieve. I believe u guys do not border somalia if u did you would probably know whats at stake here.

What's at stake is you and yours lives.

The question is, till when are you going to suffer while your leaders are pocketing big bribes for your lives.

What made US run from Somalia in the first place?

Think.
 
Gsu ni wa laini sio? Ebu do some research on your own alafu uone. Ata usiende mbali. Do u still remember the zanzibar uprising? Just geuss ni kina nani walioitwa kuja kuregeshaeta amani all the way from kenya.

As a matter of fact those guys pia are the ones who prevented attempted coup back in 1982. And in 1986 they faught off UPDF after illegally crossing our boders.
Zanzibar? When?
 
Back
Top Bottom