Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaah! Ni wewe sasa unakosa adabu ukiendelea kuongea hivi
KDF ndio jeshi la hovyo AfricaKumbe jeshi la TZ hufanya nini?? Wamawahi ingia vita na Maghaidi?? Na usiniambia waasi!! Hilo jeshi linajua nini zaidi ya Militia?? Wacha wabaki tu huko Dar ile siku watajifanya watokee, ndio wataelewa yepi yanajiri duniani kweli maswala ya ughaidi
Mzee upo sikunyingi KakaUkweli usemwe Hakuna mtakacho kipata kule zaidi ya kupoteza maisha ya wakenya!!
mkumbuke kuwa hao watu hawana chakupoteza kule
Pia mjue kuna wakenya wanawake zaidi ya 300 wanashikiliwa Mateka na Alshbb
Serikali yenu hili haitaki kulizungumzia kabisa
Wanawake wale wanafanyiwa matendo mabaya sana kule,
Lazima mjue Somalia ni mfupa ulio mshinda fisi.
Actually the Kenyan army is dealing with an Islamist group, which can be quite challenging. Taliban, ISIS etc are examples of such groups. They are weaker than ISIS and so are we tukijicompare na USA. But hio attack walishindwa kuifanya, they ended up dead. Wewe utaacha kuwaonea Wakenya wivu. Kama maisha yamekulemea huko LDC(Tanzania) niambie nikutafutie bwana mkenyaKDF ndio jeshi la hovyo Africa
hilo mpinge mkubari huo ndio ukweli
Naskia kuna chance kuna mafuta sehemu ya Jubaland huko TanzaniaUkweli usemwe Hakuna mtakacho kipata kule zaidi ya kupoteza maisha ya wakenya!!
mkumbuke kuwa hao watu hawana chakupoteza kule
Pia mjue kuna wakenya wanawake zaidi ya 300 wanashikiliwa Mateka na Alshbb
Serikali yenu hili haitaki kulizungumzia kabisa
Wanawake wale wanafanyiwa matendo mabaya sana kule,
Lazima mjue Somalia ni mfupa ulio mshinda fisi.
Vipi mnataka kuja kuiba nini?Naskia kuna chance kuna mafuta sehemu ya Jubaland huko Tanzania
Hamna tunachotafta huko zaidi ya kuhakikisha usalama ya taifa letu. Ni hilo tuUkweli usemwe Hakuna mtakacho kipata kule zaidi ya kupoteza maisha ya wakenya!!
mkumbuke kuwa hao watu hawana chakupoteza kule
Pia mjue kuna wakenya wanawake zaidi ya 300 wanashikiliwa Mateka na Alshbb
Serikali yenu hili haitaki kulizungumzia kabisa
Wanawake wale wanafanyiwa matendo mabaya sana kule,
Lazima mjue Somalia ni mfupa ulio mshinda fisi.
Kama unadhani usa wanashida ya kumaliza vita umejidanganyaAl Shabaab si mchezo. Those islamist groups are very organised. Taliban imewasumbua USA. ISIS inawasumbua USA, Russia na other super powers. Btw Al Shabaab ni an affiliate wa ISIS
Na kuexploit the resourses of these countriesMi nionavyo, ugaidi ni mfumo tu mpya wa kiuchumi, sawa na ujangili, uharamia ktk stage za awali za ubepari. Hivyo, dunia haswa mataifa yaliyoendelea kiviwanda, hawana nia thabiti ya kuliondoa hili soko na mtaji wao wa kiuchumi, ugaidi.
Fikiria, eti wana silaha, wanazitoa wapi, kama kungekuwa na nia vikwazo tu vingewaangamiza. Usiniambie kwamba jeshi la Marekani, lishindwe kukusanya silaha zote kali zilizoko Somalia, haingii akilini kabisa. Hata kwa kuwalewesha kama alivyofanywa Sadam, nia haipo tu makampuni yanafanya biashara hapo.
NB: biashara zenye faida duniani ni pamoja na madawa na silaha.
Na ugaidi ni mawakala wao ktk kutimiza azma hiyo, hawaaminiki hao. Inawezekanikaje, waasi kwenye landlocked countries kama Congo wamiliki vifaru? Vinapitia wapi? Dar port vimevukaje?Na kuexploit the resourses of these countries
Mi nionavyo, ugaidi ni mfumo tu mpya wa kiuchumi, sawa na ujangili, uharamia ktk stage za awali za ubepari. Hivyo, dunia haswa mataifa yaliyoendelea kiviwanda, hawana nia thabiti ya kuliondoa hili soko na mtaji wao wa kiuchumi, ugaidi.
Fikiria, eti wana silaha, wanazitoa wapi, kama kungekuwa na nia vikwazo tu vingewaangamiza. Usiniambie kwamba jeshi la Marekani, lishindwe kukusanya silaha zote kali zilizoko Somalia, haingii akilini kabisa. Hata kwa kuwalewesha kama alivyofanywa Sadam, nia haipo tu makampuni yanafanya biashara hapo.
NB: biashara zenye faida duniani ni pamoja na madawa na silaha.
they tried but waliona moto kweli saa hii kdf wako chonjo aiseeNo deaths have been reported yet, the KDF apparently repulsed the attackers with motars. And the fact that there' s no word yet from yhe Alshabby about the attack- to rub it on our faces means that it was not successful.
Wawafanyie ujasusi wa kila aina, silaha zisiingie, dini zibadilishwe, watu wasomeshwe, maisha yabadilishwe, kumbi za starehe kwa vijana, klabu za mpira na michezo mingine, hata kiintelijensia tuwaachie wachukue kakombe la East Afrika, vyakula wapewe, wakati mwingine shida na kukosa cha kufanya hupelekea ujinga kichwani.they tried but waliona moto kweli saa hii kdf wako chonjo aisee
Ukweli usemwe Hakuna mtakacho kipata kule zaidi ya kupoteza maisha ya wakenya!!
mkumbuke kuwa hao watu hawana chakupoteza kule
Pia mjue kuna wakenya wanawake zaidi ya 300 wanashikiliwa Mateka na Alshbb
Serikali yenu hili haitaki kulizungumzia kabisa
Wanawake wale wanafanyiwa matendo mabaya sana kule,
Lazima mjue Somalia ni mfupa ulio mshinda fisi.
Hawa hawamjui hata huyo Mungu, na inawezekana hata chang'aa wanagonga, si kwanza walikuwa na kashfa ya kuwauzia watu nyama ya fisi hawa. Hawa ni wakuwafanyia all-out war nchi nzima, kafara itakuwepo ila sio mbaya wengine wanaishi poa watakaobaki.Huwa siwaelewi mazombi, hata kwenye mwezi wenu huu bado mnajilipua lipua, hebu ona leo London mumefanya yenu. Nyie hata shetani mumemshinda kwa maovu.