Prof Koboko
JF-Expert Member
- Aug 15, 2020
- 350
- 2,550
Waswahili waliwahi kunena kuwa....kufa ili usemwe, haijalishi ni kwa ubaya au uzuri, ilimradi usemwe tu kwa sababu huwezi kujibu chochote.
Hivi ni kweli JPM kwa kipindi chake cha miaka 5 alikopa zaidi ya Trillion 29? Hizi pesa pamoja na miradi yote hii aliyoacha ambayo kwa kiasi kikubwa haijakamilika, hizi pesa zote alikopaje? Alikua anamtuma nani wakati alikua hatembezi bakuli nje yeye? Ama mabakuli yalikua yanakuja mwenyewe?
Ilikua awamu ya 5 wakafanya kisasa kiasi hicho kuwadanganya wananchi kua miradi yote hiyo ilikua ikijengwa kwa pesa za ndani? Trillion 29 kwa miaka 5, angekaa miaka 10 ingekuwaje? Deni zili lingefikia trillioni 100 sasa? Yaani JK aliye kaa madarakani miaka 10 pamoja na kuzunguka kwake kote na mtandao wa barabara kuunganisha mikoa yote nchi nzima lakini deni lake halikufikia la mwendazake la miaka 5?
Uchumi wa kati uliokua unatangazwa kwa nguvu kubwa leo hii uko wapi?
Huenda taifa hili linakwama kwa sababu ya unafki mkubwa wa baadhi ya viongozi ambao hawako tayari kusema kweli. Watu wapo tayari kulinda matumbo yao kuliko utaifa wao.
Hivi ni kweli JPM kwa kipindi chake cha miaka 5 alikopa zaidi ya Trillion 29? Hizi pesa pamoja na miradi yote hii aliyoacha ambayo kwa kiasi kikubwa haijakamilika, hizi pesa zote alikopaje? Alikua anamtuma nani wakati alikua hatembezi bakuli nje yeye? Ama mabakuli yalikua yanakuja mwenyewe?
Ilikua awamu ya 5 wakafanya kisasa kiasi hicho kuwadanganya wananchi kua miradi yote hiyo ilikua ikijengwa kwa pesa za ndani? Trillion 29 kwa miaka 5, angekaa miaka 10 ingekuwaje? Deni zili lingefikia trillioni 100 sasa? Yaani JK aliye kaa madarakani miaka 10 pamoja na kuzunguka kwake kote na mtandao wa barabara kuunganisha mikoa yote nchi nzima lakini deni lake halikufikia la mwendazake la miaka 5?
Uchumi wa kati uliokua unatangazwa kwa nguvu kubwa leo hii uko wapi?
Huenda taifa hili linakwama kwa sababu ya unafki mkubwa wa baadhi ya viongozi ambao hawako tayari kusema kweli. Watu wapo tayari kulinda matumbo yao kuliko utaifa wao.