Alaaniwe mtu anayepanga na kuchoma masoko DSM

Alaaniwe mtu anayepanga na kuchoma masoko DSM

Ifike mahali tuseme inatosha na kusema sasa ni muda watu kujua kuna Mungu.

Wewe mtu unayepanga na kuchoma moto either kwa kutaka kufurahisha watu na kuonyesha unaweza kwa kuumiza maelfu ya familia naomba kutangaza hutochoma tena masoko, kama Mungu anavyoishi vilio na machungu ya watu wanachomewa mitaji yao tangu Kariakoo, Mchikichini na sasa TAZARA nataka kusema hutochoma na machozi haya ya watu you have to pay the price. Amen

Pia soma:
Soko la Vetenari lililoko maeneo ya TAZARA linateketea kwa moto

Dar: Soko la Mabegi Karume laungua moto alfajiri ya Aprili 8, 2022
Lengo haswa la anayechoma ni nini? Kweli vyombo vya usalama vimeshindwa kumbaini?
 
Walikua wanazichoma wenyewe hawapendi elimu dunia mana niya mzungu ambaye ni kafiri.

#MaendeleoHayanaChama
Elimu haijaanzia kwa mzungu,acha ujinga..wazungu wameenda kupigana Vita vya msalaba hata kutengeneza sukari hawawezi,itafute Syria na Iraq katika elimu ujue wanechangiaje...kuanzia chemistry,algebra,afya,cryptology nk
 
Wanufaika na zoezi hilo, IQ yako itumie vizuri. Kwani hakuna tenda ya ujenzi hapo itakuja? Haya wanafunzi wenye chuki na walimu, wasiopenda masomo, hawajajiandaa kufanya mitihani wakitekeleza jambo lao hawatafaidika? japo hasara yake kubwa kwao wanaangalia kafaida upande wao.
Wanafunzi!!..yaani Tanzania nzima!?..
 
Ifike mahali tuseme inatosha na kusema sasa ni muda watu kujua kuna Mungu. Hawa niwavuja jasho masikini wanahangaika kupata mehemeo ya watoto wao masikini hawana pakwenda leo kila siku wanachomewa masoko na kutunga story hazina kichwa why for 6 years back huu ujinga haukuwepo.

Mbona pale Kisutu watu walikubali kwa amani waka hama na jengo likaje gwa na wamerudi... Ina kuwaje masoko yanaungua kila kukicha na hakuna mamlaka inawajibika hivi kweki mnafikiri watu ni wajinga kiasi cha kutojuwa nini kina endelea au mnafikiri uwovu huu utapita salama bila kuwarudia wapangaji? Je hamjuwi kuna karima?.

Wewe mtu unayepanga na kuchoma moto either kwa kutaka kufurahisha watu na kuonyesha unaweza kwa kuumiza maelfu ya familia naomba kutangaza hutochoma tena masoko, kama Mungu anavyoishi vilio na machungu ya watu wanachomewa mitaji yao tangu Kariakoo, Mchikichini na sasa TAZARA nataka kusema hutochoma na machozi haya ya watu you have to pay the price. Amen

Pia soma:
Soko la Vetenari lililoko maeneo ya TAZARA linateketea kwa moto

Dar: Soko la Mabegi Karume laungua moto alfajiri ya Aprili 8, 2022
Je masoko yaliendelea chomwa baada ya kauli hii? Je Nini kimetokea? Kwaheri
 
Kumbe mlitoa laana ya kuungua soko huku?

Laana ya jengo kudondoka na tume kuundwa ikala kwa urefu wa kamba na kuingia mitini mnatoa lini?
 
Kuna siku niliwaza sana, nikadhani saa nyingine watu wanachoma ili wapate upigaji mpya kwenye ujenzi na ukarabati.
......kuna watu wako kazini jamani msiwe kama hamuelewi ....wakitaka kuwatoa na wanakuwa wabishi ...wanachoma kuanza upya watu wana kazi zao.....woko Karume mbona waliwajua walikuja kama week 3 wakazoeana nao....wakaunguza na kupotea hadi leo....mipangonkazi hiyo
 
Back
Top Bottom