Alala na kula Serena kisha kutokomea bila kulipa deni la milioni 21, adakwa na kufikishwa mahakamani

Alala na kula Serena kisha kutokomea bila kulipa deni la milioni 21, adakwa na kufikishwa mahakamani

Utakuta alikua hajui gharama za hio hotel, alidhani ni zile lodge za mtaani soda Tsh buku. Unakuta alikua na kamilioni ame bet akaona akajipongeze.

Baada ya bill kuja akaona uwezo wa kulipa hana bora kutokomea kusikojulikana, hii inawakuta wengi unafika sehemu unaagiza msosi wakati hufahamu utaratibu wa eneo hilo.
hii imenikuta jana Arusha baada ya kunywa castle light zangu mbili nikasema ninywe shots mbili za JD Old No. 7 ili niweke kichwa sawa nmemaliza tu ile nataka kulipa nitoke naambiwa ni 25000 uzuri pale walkua wana lipa namba ya nmb nikaclear ila ni ukweli usiopingika nilienda nje ya bajeti parefu sana
 
Utakuta alikua hajui gharama za hio hotel, alidhani ni zile lodge za mtaani soda Tsh buku. Unakuta alikua na kamilioni ame bet akaona akajipongeze.

Baada ya bill kuja akaona uwezo wa kulipa hana bora kutokomea kusikojulikana, hii inawakuta wengi unafika sehemu unaagiza msosi wakati hufahamu utaratibu wa eneo hilo.
Usilolijua....usimalize maneno
 
Nilikaa pale Serena siku 5 wana huduma nzuri sana na za bei rahisi kikombe cha kahawa iliku ni million 2 na ilikua lazima ninywe vikombe viwili asubuhi na jion siku zote 5
Chupa ya maji ya litre 1.5 nilikua nanunua laki 5 kwa siku lazima ninywe maji ma 3.
Soda walikua wanauza laki 8 lakini kwakua nimeacha kunywa soda ilibidi niwe nakunywa juice glass 1 ya laki 9½
 
Sijaelewa bado
Ninavyojua unalala hotel na kulipia huwezi kusema nalala mwezi ntalipa mwisho wa mwezi
Sijaelewa na hakuna wa kuelezea mkasa ulivyo
Waandishi wetu makanjanja sana wakajifunze aisee
HATA MM MKUU NIMEWAHI KAA BEARCHWOOD HOTEL JNB KWA WIKI MOJA YA PILI VURUGUZAKE NKAAMUA KULIPA HUYU NAHISJ ALIKUWA NA HIRIZI KUWAFUNGA MANAGER

2..HAPO KUNA MCHONGO YAWEZEKANA ALITOA KIASI KWA MÀNAGER WAPOTEZEE MANAGER KABANWA WAKAISANUA

MIL 21 HOTEL YA BABAKOOO??NAKAA LODGE ZA MJOMBA WIKI MBILI SINZA YATATU NATUMIWA MSG KAMA MWIZI NIONDOKE HUYU AISEE SPEECHLESS 😶
 
Nilikaa pale Serena siku 5 wana huduma nzuri sana na za bei rahisi kikombe cha kahawa iliku ni million 2 na ilikua lazima ninywe vikombe viwili asubuhi na jion siku zote 5
Chupa ya maji ya litre 1.5 nilikua nanunua laki 5 kwa siku lazima ninywe maji ma 3.
Soda walikua wanauza laki 8 lakini kwakua nimeacha kunywa soda ilibidi niwe nakunywa juice glass 1 ya laki 9½
M nililipa 45000 nkaletewa chai yamaziwa mikate sometimes zagakadhaa nkajua nxty n main meal mpaka sasa nasubiria kwangu labda watantumia achakaabisà
 
Mbona wizi wa kijinga sana huu!?

Akikana haja chukua cash counter itakuwaje? Kumbe hizi hotel kwa nje zinatisha tu ila operations zake kwa ndani ni hovyo hivi!

Eti nipo na ugeni fulani hivyo tupatie kiasi kadhaa ili tufanikishe mambo Yote.. Hela hiyo weka kwenye bili... 🤣🤣🤣
Maelekezo hayajakaa vizuri bado ? Kila mkutano lazima uwe na kiongozi anaesema wageni wake wangapi na malipo yanakuaje,na ikitokea kaongezeka mtu lazima ajuzwe Ili acomfam.

Na kuhusu kupewa cash hapana maana (cashier) au mtu wa mapokezi anakua na float ya kumuwezesha kutoa chench tuu sasa pesa za kutoa👎👎hapana.
 
Mbona wizi wa kijinga sana huu!?

Akikana haja chukua cash counter itakuwaje? Kumbe hizi hotel kwa nje zinatisha tu ila operations zake kwa ndani ni hovyo hivi!

Eti nipo na ugeni fulani hivyo tupatie kiasi kadhaa ili tufanikishe mambo Yote.. Hela hiyo weka kwenye bili... 🤣🤣🤣
Hamna kitu kama hicho, ukifanya kazi kwenye kampuni au shirika fulani ili ulale hoteli bila kucash, shuruti kampuni/shirika wawe na mkataba na hoteli husika, na huwezi kwenda bila kufanyiwa booking na kampuni/shirika husika.

Huwezi tu kwenda eti mimi Binti kiziwi nafanya kazi na JF naomba chumba JF watalipa!!!!

Huyo tapeli alienda yeye kama yeye na alifanikiwa kuwaaminisha kuwa ana pesa za kumudu gharama, na pengine alifanya deposit za mwanzo au kuna bills kubwa alilipa mwanzo labda kama mlivyosema alikuwa na kampani, labda alilipa bills kubwa za restaurant/bar uongozi ukaona YES!
 
Nilikaa pale Serena siku 5 wana huduma nzuri sana na za bei rahisi kikombe cha kahawa iliku ni million 2 na ilikua lazima ninywe vikombe viwili asubuhi na jion siku zote 5
Chupa ya maji ya litre 1.5 nilikua nanunua laki 5 kwa siku lazima ninywe maji ma 3.
Soda walikua wanauza laki 8 lakini kwakua nimeacha kunywa soda ilibidi niwe nakunywa juice glass 1 ya laki 9½
Mkuu habari za jioni?
 
Inanikumbusha kipindi hicho nachukua degree ya journalism chuga pale basi nikaielewa pisi Moja ya Kimbulu toto jeupee tako kama lote nikapiga sound ikawa kama inamuelekeo.
Tatizo ikawa inanipiga kalenda mambo ya kunyanduana mara ooh mapema sana kifupi manzi needed a dinner first.
Nikapiga hesabu akiba ya maisha nina kama 25 za kumalizia ada ya mtihani nkamwambia manzi achague sehemu maana nataka nikamfurahishe hadi adate na roho yake...Big mistake
Manzi kanitajia grand milia sijui milea Ile,yaani sitaki kumbuka the humiliation I went through dat day.
Picha linaanza pale soda ni buku 7.
 
hii imenikuta jana Arusha baada ya kunywa castle light zangu mbili nikasema ninywe shots mbili za JD Old No. 7 ili niweke kichwa sawa nmemaliza tu ile nataka kulipa nitoke naambiwa ni 25000 uzuri pale walkua wana lipa namba ya nmb nikaclear ila ni ukweli usiopingika nilienda nje ya bajeti parefu sana
Imagine ungekuwa na rafiki zako.
 
Thats humiliation, mwanafunzi wa chuo unamwambia akupeleke Grandmelia how? Au ulimwambia babaako ni waziri wa nishati na madini? 😅

Labda alikuwa hakutaki from the beginning, eenhe ikawaje?
Inanikumbusha kipindi hicho nachukua degree ya journalism chuga pale basi nikaielewa pisi Moja ya Kimbulu toto jeupee tako kama lote nikapiga sound ikawa kama inamuelekeo.
Tatizo ikawa inanipiga kalenda mambo ya kunyanduana mara ooh mapema sana kifupi manzi needed a dinner first.
Nikapiga hesabu akiba ya maisha nina kama 25 za kumalizia ada ya mtihani nkamwambia manzi achague sehemu maana nataka nikamfurahishe hadi adate na roho yake...Big mistake
Manzi kanitajia grand milia sijui milea Ile,yaani sitaki kumbuka the humiliation I went through dat day.
Picha linaanza pale soda ni buku 7.
 
Juzi Jumapili nilikuwa restaurant nakula brunch, sasa nimemaliza, yuke waiter akawa anachelewa sana kurudi kunipa bill ya kulipa.

Nikasema hawa jamaa wanajiamini vipi kwamba siwezi kumaliza kula nikasepa hapa, wakati hakuna hata mtu anayenifuatilia.

Nikaona hawa watu (USA, quite affluent neighborhood) wamejijengea utamaduni wa imani kubwa sana kiasi wanaona haiwezekani mtu akala na kukimbia kulipa.

Nikasema wangekuwa Bongo hawa, wangejijua.
 
Mwamba alitaka atrend
IMG-20240515-WA0089.jpg
 
Maalim ilikuwaje akawa na deni? Mbona alikuwa anaonekana sio mtu wa dhiki?

Hapo wazee wanakujaga kupumzika kidogo kushusha presha
 
Back
Top Bottom