Alala na kula Serena kisha kutokomea bila kulipa deni la milioni 21, adakwa na kufikishwa mahakamani

Video sijafungua, ndio imezungumzia Maalim kudaiwa? Kuna picha niliona kapiga na jide hapo hotelini
 
Labda alikua mteja wao loyal. Mtu mwenye hela zake anadaiwa siku ya kucheck out! Unagiza tu mazaga wanaweka bill kwenye room yako mpaka siku unasepa ndo unalipa siyo lazima kila ukiagiza msosi au kinywaji ulipie hapo hapo
Ukizungumzia mteja Loyal hilo naweza kubali. Sio rahisi kuaminika kama watu hawana credit history yako.

Kuna mtu namfahamu ana huu mchezo anaufanya Mlimani City kwenye mgahawa flani pale ila ni vile alishazoeleka hivyo hawajamstukia. Ila ipo siku kitanuka tu 😂😂😂
 
Kweli mkuu bidhaa pekee ambayo ghali ni chips kidari wanauza million 4
 
Sio imani tu wana camera😁 huwezi fika mtaa wa tatu bila kuripotiwa
 
Birchwood
 
Sijaelewa bado
Ninavyojua unalala hotel na kulipia huwezi kusema nalala mwezi ntalipa mwisho wa mwezi
Sijaelewa na hakuna wa kuelezea mkasa ulivyo
Waandishi wetu makanjanja sana wakajifunze aisee
Hotel nyingi kubwa huwa wakati wa checkout ndo unapewa bill na ukitaka kulipia kila siku hayo ni maamuzi yako tu. Kama nakumbuka hata Whitney alishawahi kukutana na similar issue
 
Mtambuzi , sasa huyo mlimuweka tu au kulikuwa na mission ipi?

Ni kama ushahidi umekwama, mwamba kaachiwa
 
Huyu jamaa anaishi goba lakini anakula na kulala Serena.
 


Hotel gani ina pile up deni mpaka 21 m? Kuna story zaidi inafichwa.
 
Kasheshe
 
Huyu jamaa anaishi goba lakini anakula na kulala Serena.
Goba imeshaipiku sinza, wajanja na watu wenye mishenishe wako goba, ukienda bar kaa mkao mzuri unaweza ukawa unakunywa zako kumbe kuna watu wanapanga mishe za kukuuza
 
😂🙌Aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…