Video sijafungua, ndio imezungumzia Maalim kudaiwa? Kuna picha niliona kapiga na jide hapo hoteliniRais Magufuli amtembelea Maalim Seif, Serena Hotel
=========== Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. John Pombe Magufuli, amemtembelea Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad katika holeti ya Serena Jijini Dar es Salaam. Maalim Seif yupo hotelini hapo kwa mapumziko baada ya kutolewa hospitali ya Hindu Mandal...www.jamiiforums.com
Hapo wazee wanakujaga kupumzika kidogo kushusha presha
Ukizungumzia mteja Loyal hilo naweza kubali. Sio rahisi kuaminika kama watu hawana credit history yako.Labda alikua mteja wao loyal. Mtu mwenye hela zake anadaiwa siku ya kucheck out! Unagiza tu mazaga wanaweka bill kwenye room yako mpaka siku unasepa ndo unalipa siyo lazima kila ukiagiza msosi au kinywaji ulipie hapo hapo
Kweli mkuu bidhaa pekee ambayo ghali ni chips kidari wanauza million 4Nilikaa pale Serena siku 5 wana huduma nzuri sana na za bei rahisi kikombe cha kahawa iliku ni million 2 na ilikua lazima ninywe vikombe viwili asubuhi na jion siku zote 5
Chupa ya maji ya litre 1.5 nilikua nanunua laki 5 kwa siku lazima ninywe maji ma 3.
Soda walikua wanauza laki 8 lakini kwakua nimeacha kunywa soda ilibidi niwe nakunywa juice glass 1 ya laki 9½
Sio imani tu wana camera😁 huwezi fika mtaa wa tatu bila kuripotiwaJuzi Jumapili nilikuwa restaurant nakula brunch, sasa nimemaliza, yuke waiter akawa anachelewa sana kurudi kunipa bill ya kulipa.
Nikasema hawa jamaa wanajiamini vipi kwamba siwezi kumaliza kula nikasepa hapa, wakati hakuna hata mtu anayenifuatilia.
Nikaona hawa watu (USA, quite affluent neighborhood) wamejijengea utamaduni wa imani kubwa sana kiasi wanaona haiwezekani mtu akala na kukimbia kulipa.
Nikasema wangekuwa Bongo hawa, wangejijua.
Hahaaa. Na mimi naona, halafu ukidakwa kibano chake si cha kitoto, wanakufanya mfano.Sio imani tu wana camera😁 huwezi fika mtaa wa tatu bila kuripotiwa
BirchwoodHATA MM MKUU NIMEWAHI KAA BEARCHWOOD HOTEL JNB KWA WIKI MOJA YA PILI VURUGUZAKE NKAAMUA KULIPA HUYU NAHISJ ALIKUWA NA HIRIZI KUWAFUNGA MANAGER
2..HAPO KUNA MCHONGO YAWEZEKANA ALITOA KIASI KWA MÀNAGER WAPOTEZEE MANAGER KABANWA WAKAISANUA
MIL 21 HOTEL YA BABAKOOO??NAKAA LODGE ZA MJOMBA WIKI MBILI SINZA YATATU NATUMIWA MSG KAMA MWIZI NIONDOKE HUYU AISEE SPEECHLESS 😶
Hotel nyingi kubwa huwa wakati wa checkout ndo unapewa bill na ukitaka kulipia kila siku hayo ni maamuzi yako tu. Kama nakumbuka hata Whitney alishawahi kukutana na similar issueSijaelewa bado
Ninavyojua unalala hotel na kulipia huwezi kusema nalala mwezi ntalipa mwisho wa mwezi
Sijaelewa na hakuna wa kuelezea mkasa ulivyo
Waandishi wetu makanjanja sana wakajifunze aisee
Hizo hotel wamezoe wateja wenye vibunda sio rahisi kapuku kujipeleka huko so huwa hawana hofu na wateja wao.Hadi inavuka 10m wanamuangalia tu.
Mkazi wa Dar es Salaam, Denis Mfumbulwa mwenye miaka 44 wa Goba Kulangwa amefikishwa mahakama ya mwanzo ya Kariakoo akidaiwa kujipatia malazi na chakula kwenye hoteli ya Serena kitapeli vyenye thamani ya milioni 21.4
Baada ya kupata huduma, mdaiwa alitokomea kusikojulikana. Mfumbulwa alikana mashtaka hayo. Pamoja na dhamana kuwa wazi, mshtakiwa amebaki rumande baada ya kushindwa masharti yake ya kuwa na bondi iliyosainiwa ya milioni 10.
Mwamba naona alijua ataambiwa tu aoshe vyombo kama wafanyavyo mama ntilie
Pia, soma=> Anayedaiwa kulala na kula Serena kisha kutokomea aachiliwa
Yap thxBirchwood
Kama n custm wa marakwamara wanakuamini ila mmhYeye aliruhusiwaje kulala hoteli bila kulipa kwanza?
KashesheMkazi wa Dar es Salaam, Denis Mfumbulwa mwenye miaka 44 wa Goba Kulangwa amefikishwa mahakama ya mwanzo ya Kariakoo akidaiwa kujipatia malazi na chakula kwenye hoteli ya Serena kitapeli vyenye thamani ya milioni 21.4
Baada ya kupata huduma, mdaiwa alitokomea kusikojulikana. Mfumbulwa alikana mashtaka hayo. Pamoja na dhamana kuwa wazi, mshtakiwa amebaki rumande baada ya kushindwa masharti yake ya kuwa na bondi iliyosainiwa ya milioni 10.
Mwamba naona alijua ataambiwa tu aoshe vyombo kama wafanyavyo mama ntilie
Pia, soma=> Anayedaiwa kulala na kula Serena kisha kutokomea aachiliwa
Goba imeshaipiku sinza, wajanja na watu wenye mishenishe wako goba, ukienda bar kaa mkao mzuri unaweza ukawa unakunywa zako kumbe kuna watu wanapanga mishe za kukuuzaHuyu jamaa anaishi goba lakini anakula na kulala Serena.
😂🙌AiseeNilikaa pale Serena siku 5 wana huduma nzuri sana na za bei rahisi kikombe cha kahawa iliku ni million 2 na ilikua lazima ninywe vikombe viwili asubuhi na jion siku zote 5
Chupa ya maji ya litre 1.5 nilikua nanunua laki 5 kwa siku lazima ninywe maji ma 3.
Soda walikua wanauza laki 8 lakini kwakua nimeacha kunywa soda ilibidi niwe nakunywa juice glass 1 ya laki 9½