Ukimkuta muslimm kavaa rosali utaongea nn au pagani kavaa?!
Hii hapa mi nimeuliza tuu maana sijui hata mimi sio wa imani hiyoView attachment 1278880
nasikia wadada wakivaa mguuni kinamaanisha wanapiga miguu yote mitandao yote inasoma 4GNimeona mtu kaivaa mkononi kidogo imenishtua maana iko tofauti na ninazoziona kwa Wamasai au madukani.
Ukiichunguza vizuri katikati kuna kitufe kimoja kina kapicha kama sura ya mtu fulani au zile mojawapo ya nembo ya Freemason.
Hivi kina maana gani?
View attachment 1278849
Tu me Kwisha
Kumbe haya yote sababu yake ni hii...!
Tumekwisha.
Na awamu ya Pili
HALI ITAKUWA MBAYA ZAIDI YA HII.
MWENYE JEMBE NA SHOKA NA AYANOE.
TUELEKEE KIBUGUMO NA KWA MWANA LILATU TUKALIME.
Hii hapa mi nimeuliza tuu maana sijui hata mimi sio wa imani hiyoView attachment 1278880
Jina halisi la Budha ni Sirdhata Gautama
Nadhani ushaona wale mabudha wa muvi za kichina unadhani wanafaidi vipiHapa kanisa lao liko wapi?
Wanaruhusu wabongo kujiunga?
Wanatoa pesa kama freemason?
Sio jina la budha, buddha ni kiongozi ndo jina lake hilo sidharta