Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
- Thread starter
-
- #101
ππ mama samia unavyohisi anawwza toka bila bra?Mkuu,, usiwe unavaa tuu,,, hata Kama mtindi mkubwa we fanya Kama uuoni hivi,,[emoji38][emoji38]
Sent using Jamii Forums mobile app
π’π«π« Nilikuwa najifariji
Mungu hapendi ujueHuu uzi bila picha haubebeki kabisa..
[emoji23][emoji23]ungeweka picha tukushauriMungu hapendi ujue
Mi kusikia tu mikanda sijui alama basi hapa mnara upo full network
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23]ungeweka picha tukushauri
Btw,bio oil huwa haisaidii??,,au ni kwa stretch marks tu??
Picha plzHabari zenu wanawake wenzangu..
Hivi hizi alama za brazia huwa inawezekanika kutoka kweli? naamanisha zile sehemu inayopita brazia..inaacha mark mno jaman..nimeanza jichukia
Je kuna dawa yyt au mafuta yyt yanayoweza kusaidia kutoa!?yaan inafikia hatua unashindwa kuvaa backdress..au nguo zifananazo ..kama offshoulder!sio mabegani tu ni had huku mgongoni...itafikia kipindi ht kwenda beach tutaogopa..!hebu nataka jua na nyie zinawatokea..at first nilikua nalala na bra.. (mazoea mabaya)sasa hv nimeacha ila alama bado tu[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]!
cc.
Nalendwa ,Shunie espy Heaven Sent Meeyah !
Hata mie nimeshangaa ujuewewe si keπππ
Hata mie nimeshangaa ujue
πππ...mambo yamekuwa mengi