Alama hizi za bra zinatokaje?

Alama hizi za bra zinatokaje?

Me sina hizo alama.
Punguza kuzivaa sana, imagine kama unalala nazo lazima alama zibaki tu.
 
Jamaa angu naona shida una mtindi wa haja (akina sie wapenda mtindi wa haja wote tuseme AMEN)

Sina uzoefu sana na mademu mie ila nkwanini usivae zile za sports maana hhazna mikanda na ni kama top pia zinashikilia vizuri manido!

Ningekua na hela ningekuoa tu!! Vile tu YANANESA nakuwaga hoi....!
 
Habari zenu wanawake wenzangu..
Hivi hizi alama za brazia huwa inawezekanika kutoka kweli? naamanisha zile sehemu inayopita brazia..inaacha mark mno jaman..nimeanza jichukia

Je kuna dawa yyt au mafuta yyt yanayoweza kusaidia kutoa!?yaan inafikia hatua unashindwa kuvaa backdress..au nguo zifananazo ..kama offshoulder!sio mabegani tu ni had huku mgongoni...itafikia kipindi ht kwenda beach tutaogopa..!hebu nataka jua na nyie zinawatokea..at first nilikua nalala na bra.. (mazoea mabaya)sasa hv nimeacha ila alama bado tu[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]!
cc.
Nalendwa ,Shunie espy Heaven Sent Meeyah !
Picha plz

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi pia ninayo na sijui jinsi ya kuitoa. Labda tuacha kuvaa bra 🤣🤣
 
Back
Top Bottom