Ndengaso
JF-Expert Member
- Jul 18, 2014
- 7,831
- 14,259
Kila mmoja ana alama unique....na dawa ni tofauti weka yako usaidiwe...mficha ugonjwa...? [emoji1]kuna picha imewekwa humu mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila mmoja ana alama unique....na dawa ni tofauti weka yako usaidiwe...mficha ugonjwa...? [emoji1]kuna picha imewekwa humu mkuu
Basi itabidi uliangalie hilonimewah soma sehem..inawezekana sana hii mkuu
te sana...nitaenda casandrah wanavipimo vya braBasi itabidi uliangalie hilo
Kwa kweli inawakera sana especially beach, na summer time
Pole
Sent from my SM-G570F using Tapatalk
Kila mmoja ana alama unique....na dawa ni tofauti weka yako usaidiwe...mficha ugonjwa...? [emoji1]
Sent using Jamii Forums mobile app
Si ndo ukweli huo??
Maziwa makubwa yaliyolegea na kua loose yanaitwa MAPAPAI ama MTINDI??
Unakuta Demu kama Isha Mashauzi ana kifua kikubwa utasema ananyanyua vyuma.......
Sorry for the Bitter Truth anyway
Fata ushauri wa wadau Shem, mimi ntatoa ushauri siku nikiona.
hahahaha shemeji wa mwwndokasi ww walah
Kwa nini shemeji, lazima nijiridhishe kwamba ngozi yako inaendana na mafuta ninayokushauri, nisije kusababisha ukaungua ngozi.
You are most welcomeAsan
te sana...nitaenda casandrah wanavipimo vya bra
kw
enda zako...usipende kujifanya unajua kila.kitu..nimekuona nyuzi nyingi sana had mamen wenzako wanakuuliza una shida gan..yan unajiona ndo unajua kutukana ww kebehi ww..mzuri ww hehehhee *****
Arrive. Raise Hell. Leave.oles
Pole sana mshenzi mmoja ww..
Kwenye hii Avatar yako ni kwamba unalia, Uko serious ama una tabasamu maana kifupi sura haielewiki(joke)Picha yangu kwani huioni ama unataka nn hasa?
Iyo Avatar ni my true picture sina cha kuhide mm, hata jina natumia my real name!
Kwenye hii Avatar yako ni kwamba unalia, Uko serious ama una tabasamu maana kifupi sura haielewiki(joke)
Say It No More Fam!Kwenye hii Avatar yako ni kwamba unalia, Uko serious ama una tabasamu maana kifupi sura haielewiki(joke)
Hahahaha nashangaa tu nimetoa povu halafu😀😀😀😂😂😂😂😂alilia juzi kwenye sredi ya mwachi huyu achana naye
Thinkin I was Sad ? No way! I cried just to make you cum! I could feel the way you felt the orgasms![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]alilia juzi kwenye sredi ya mwachi huyu achana naye
heeee kumbe ww she!naona unajilinganisha na hawachi demu😂😂😂Say It No More Fam!
I Know Myself, Im Ugly as Hell, but believe it or not, sikushindi wewe!
Na kwenye Avatar, I was crying, as a Human being, I do get hurt too!
No I'm straight as Hell...nimetumia figure of speech sorry kumbe ung'eng'e ni kama Ronaldinho kwako? Like unakupiga chenga za maudhi! Omg!heeee kumbe ww she!naona unajilinganisha na hawachi demu[emoji23][emoji23][emoji23]
mxeiwNo I'm straight as Hell...nimetumia figure of speech sorry kumbe ung'eng'e ni kama Ronaldinho kwako? Like unakupiga chenga za maudhi! Omg!
Sijilinganishi nae but I knw she is uglier than Iam! Ndo mana nikasema simshindi!
Picha tafadhaliHabari zenu wanawake wenzangu..
Hivi hizi alama za brazia huwa inawezekanika kutoka kweli? naamanisha zile sehemu inayopita brazia..inaacha mark mno jaman..nimeanza jichukia
Je kuna dawa yyt au mafuta yyt yanayoweza kusaidia kutoa!?yaan inafikia hatua unashindwa kuvaa backdress..au nguo zifananazo ..kama offshoulder!sio mabegani tu ni had huku mgongoni...itafikia kipindi ht kwenda beach tutaogopa..!hebu nataka jua na nyie zinawatokea..at first nilikua nalala na bra.. (mazoea mabaya)sasa hv nimeacha ila alama bado tu[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]!
cc.
Nalendwa ,Shunie espy Heaven Sent Meeyah !
Omg! Okay Bye See You. No more use of you!mxeiw