Alama hizi za bra zinatokaje?

Alama hizi za bra zinatokaje?

Habari zenu wanawake wenzangu..
Hivi hizi alama za brazia huwa inawezekanika kutoka kweli? naamanisha zile sehemu inayopita brazia..inaacha mark mno jaman..nimeanza jichukia

Je kuna dawa yyt au mafuta yyt yanayoweza kusaidia kutoa!?yaan inafikia hatua unashindwa kuvaa backdress..au nguo zifananazo ..kama offshoulder!sio mabegani tu ni had huku mgongoni...itafikia kipindi ht kwenda beach tutaogopa..!hebu nataka jua na nyie zinawatokea..at first nilikua nalala na bra.. (mazoea mabaya)sasa hv nimeacha ila alama bado tu[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]!
cc.
Nalendwa ,Shunie espy Heaven Sent Meeyah !
Vip zile bra mnazovaa zenye mikanda ya plastic pia huacha alama, jaribu kubadilisha labda tuanzie na kutafuta suluhisho la muda then ndiyo yaje mafuta

Super hero daddy
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Basi hapo utakuta na manengelo anatamani angekuwa na vidogo vidogo kama vya kwako kama vipi mfanye kubadilishana tu.

Maendeleo hayana chama
😂😂😂😂😂...zaman sana nilikua namwambia maza napenda maziwa..na kweli Mungu akanigea😂
 
Kuna mafuta yanaitwa lukman ni mazuri sana kurudisha ngozi katika rangi yake ya kawaida, hata mtu aliengua moto akiwahi kuyatumia katika stage ya mwanzo hua yanafuta kovu na rangi inarudi kama mwanzo.

Maendeleo hayana chama


yeah nayajua hayo sasa mm sijui nisemeje...sijaungua
 
yeah nayajua hayo sasa mm sijui nisemeje...sijaungua
Sio lazima kuungua hata ngozi ikibalika rangi ukitumia yanasaidia kurudi katika rangi yake ya asili.
Cha msingi usiwe unavaa bra za kubana na pia unapokua nyumbani uachane na bra manyonyo yapate hewa.
Ila mi ndo kaugonjwa kangu hako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Maendeleo hayana chama
 
Sio lazima kuungua hata ngozi ikibalika rangi ukitumia yanasaidia kurudi katika rangi yake ya asili.
Cha msingi usiwe unavaa bra za kubana na pia unapokua nyumbani uachane na bra manyonyo yapate hewa.
Ila mi ndo kaugonjwa kangu hako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Maendeleo hayana chama


Bas leo niyatafte mkuu...weee!
 
Back
Top Bottom