ALAMA ya 666 tuipokee, Itarahisisha mengi. Watu waache kupotosha.

ALAMA ya 666 tuipokee, Itarahisisha mengi. Watu waache kupotosha.

Mm naona mambo ya 666 ni story tu

Ukweli nikwamba mtu mweusi hajui chochote .
 
yye anazani kwa kuongea hivyo ataonekana genious, na inavyoonesha hamna anachokijua, kamezeshwa stor za kwenye vijiwe kaamua aje kujamba jamba humu
Leta hoja za kumpinga Kwa fact sio kuatack tu
Acha vioja bro hii ni Karne ya 21 amka kifikra Aisee hayo mnayoaminishwa ni hekaya tu Dunia inaenda kubadilika Kwa Kasi via high technology huo ndio ukweli mchungu ambao wafia dini hampendi kuusikia ila amini nakuambia utakuja kushtuka umechelewa maana ipo siku Dunia ikahama huu mfumo tuliopo na kwenda mfumo wa AI Kila kitu kitawekwa wazi mbaka hizo propaganda za dini zitakua open maana waliozibuni wataziachia taarifa wazi na kua verified,na ndipo mtagundua hii Dunia Ina mambo mazito kuliko mlivyodhani!
Muda utaongea!
 
Kuna watu wanapigia chapuo hii kitu ni wanufaika wakuu katika huo ufalme wa giza ila nakuona bwana Taikoni wa fasihi umejitolea kumkaribisha dogo shetani for free, you volunteered to work for devil for free, wewe ni ameteure agent wa satan, uza roho upige miamala kama wenzio
 
Ndio hiyo 666 yenyewe nyingine OG yake hii hapa
giphy.gif
Hii si simbo of protection ya uchawi
 
Mmeshaanza upotoshaji wa waziwazi, naona muda wenu umewadia.....
 
Back
Top Bottom