Mkuu
ROBERT HERIEL umepewa shilingi ngapi kuja kuwapigia chapuo 666? Hao jamaa kiufupi wanaenda kasi sana ila kwenye negative line.
Wanataka tuhalalishe ndoa za jinsia moja kwa kigezo za uhuru wa watu. Wameshatuaminisha mwanaume na mwanamke haki sawa, mpaka sasa ni chaos.
Mwisho wamehalalisha abortion (kutoa mimba) na mpaka sasa ulaya watu wanaona ni kawaida.
Sasa hivi wapo kwenye projects za kuzalishwa watoto maabara.
Uzazi wa mpango na vita vya kibaolojia, wametuletea UKIMWI ili tusifurahie mema ya nchi.
Lengo lao binadamu wasio na faida (waafrika) wapungue duniani. Wanajiona bora kuliko wengine.
Mpango wa Mungu ni tuzaliane wao wanapinga.
Kama kuna hela umepewa rudisha mkuu hao ndio wanataka kututawala. Lengo la Mungu tuwe huru ila tufuate sheria zake tu.