Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Teh teh teh!mkuu umenichekesha sana!Wahuni? Mhuni ni mtu asiye na mke(kwa maana ya kamusi-TUKI)
Zinakusaidia kuwajua wahuni!zinatusaidia nini?
Dole la kati mbona silioni au hiyo si katika alama za wahuni.
sasa zinatumikaje?!?! na mfano nikionyeshw andio natakiwa nikimbie au? MziziMkavu okoa jahazi mkuu
they got a life,a gang life !Hawa ni wapumbavu. To me, any gang member is a loser, people with no life.