ALAMA ZA WA WAHUNI WA KIDUNIA Gang Signs

Mkuu kuna alama moja hapo naona unawatafuta watu lawama.
 
Kuna kama mbili hv, sijaziona zinatumika sana compton na bogota kwa wale wadau wa mapowder. Are so curent one. Ambatanisha na zile za huku kwe2 za kutundika "ngada" kwenye nyaya za umeme.
 
sasa zinatumikaje?!?! na mfano nikionyeshw andio natakiwa nikimbie au? MziziMkavu okoa jahazi mkuu
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…