ummu kulthum
JF-Expert Member
- Feb 6, 2012
- 2,784
- 1,317
Ndiyo lile genge la wale wakubwa (freemason) au ni wepi,
mi naona kama sielewi elewi vile.
mie sielewi kabisaaaa afadhali ya ww shoga angu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo lile genge la wale wakubwa (freemason) au ni wepi,
mi naona kama sielewi elewi vile.
ili wamsaidie nini....Zinakusaidia kuwajua wahuni!
Ni kama kitambulisho tuu(hasa Kwenye majela na biashara haramu). Kazi yake kubwa ni kujuana kama mko kundi moja au against each other. Hapo ndio Bifu litakuja na liwalo liwe..
Ili uepukane naye!ili wamsaidie nini....
kwani wahuni wanasaidia ninin katika jamii afu karibia hizo ishara zote huwa wanatumia wasanii wetu wa hip hop sasa inakuwaje au hip hop ni uhuni pia....
zinatusaidia nini?
asante kwa maelezo!
na hongera kwa kutimiza miaka ngapi jf ------since 5th July 2011 - 5th July 2013!!!
Dole la kati mbona silioni au hiyo si katika alama za wahuni.
Naona na ya Chadema imo.
Mkuu kuna alama moja hapo naona unawatafuta watu lawama.
Miaka inakwenda...Naona wewe mkongwe humu tangu 2008! Hongera zako pia.
Hiyo inatumiwa na waliostaarabika...!!!
hivi kumbe kuna mhuni aliestaarabika?
mie humu ni kikongwe kabisa....yani ni bibi bomba wa jeiefu! sijui kwa nini hakunaga shindano la bibi bomba wa jf nishiriki!
Mkuu na wale wajenzi huru hawajasahaulika, naona wamo au nao ni wahuni? Latin Kings inahusika.Naona na ya Chadema imo.
Hiyo itakuwa miraba minne ya Kimombasa au ya Kiliberali, lakini tunayoifahamu sisi labda kama unataka kufunguliwa bucha.Ukikutana na ile mijitu ya miraba minne, unalipiga mkwara kwa kutumia alama za vidole tu...lazima atoke mbio maana anajua atageuzwa bucha fasta.
Aisifuye mvua ujue imemnyea.....