Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
- Thread starter
- #61
Bibie Mamndenyi Inaonyesha unataka Utajiri wa haraka haraka kujiunga naMziziMkavu nataka tuongee kuhusu freemason
nataka kufanya maamuzi magumu.
FreeMason itabidi uwe ni Mfanya Biashara au Uwe ni Mwanamuziki au Kiongozi wa Serikali au uwe Mtu Maarufu. Huku nilipo wapo
wengi hao Ma FreeMason lakini Mwisho wake ni Mbaya ni kifo cha gafla Masharti yao ni Magumu ukijiunga huwezi kutoka
tena ukitoka wanakuuwa na kukumaliza kabisa. Wanajuwa ukitoka utasema Siri zao ndio maana hawataki mtu ujiunge
kisha utoke kwenye kundi lao samahani sana usijiunge na hilo kundi la FreeMason. Utayahatarisha Maisha yako.
Last edited by a moderator:
This post is a review of the masonic signs described in the German book: "Freimaurersignale in der Presse" or freemasonic signals in the press.(This book and Richardson's monitor of freemasonry can be downloaded on peer to peer like emule or you can also buy them online from a number of sources). The names for the signs come from the book "Sign Language Of The Mysteries" which was written decades earlier (see the other post on this blog for a review). Both books describe pretty much the same signs even thought they were written independently of each other.
The hand on the necktie (sign of distress). Israel Prime Minister Ehud Olmert made this gesture on 30 january 2007 after a rather devastating report was published about the disastrous 2006 war in Lebanon