ALAMA ZA WA WAHUNI WA KIDUNIA Gang Signs

Ni kama kitambulisho tuu(hasa Kwenye majela na biashara haramu). Kazi yake kubwa ni kujuana kama mko kundi moja au against each other. Hapo ndio Bifu litakuja na liwalo liwe..

asante kwa maelezo!
na hongera kwa kutimiza miaka ngapi jf ------since 5th July 2011 - 5th July 2013!!!
 
Mkuu mbona sijaona alama hii, au hii si uhuni?
 

Attachments

  • Kojolea askari.jpg
    27.8 KB · Views: 128
Ukikutana na ile mijitu ya miraba minne, unalipiga mkwara kwa kutumia alama za vidole tu...lazima atoke mbio maana anajua atageuzwa bucha fasta.
Hiyo itakuwa miraba minne ya Kimombasa au ya Kiliberali, lakini tunayoifahamu sisi labda kama unataka kufunguliwa bucha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…