Ngoja niifanyie kazi. Lakini itabidi niwe Judge mkuu ili nikupitishe bila chenga chenga!
Kama we sio mhuni hazikuhusu. Hata kuzijua sio muhimu.
upendeleo sitaki mie! shindano liwe la haki bhanaa!!
Nj kweli bora tuzifahamu ukiona jamaa wanapeana signal unaanza kujitayarisha kutimua mbio kama za Asain BoltBibie Nazjaz Inafaa kuzielewa ukiwa na mtu akikunyoshea vidole utamuelewa amekusudia kitu gani?
Hawa ni wapumbavu. To me, any gang member is a loser, people with no life.
Nimeipenda hii, Lakini mimi sikumaanisha kuchakachua matokeo!
Maisha ni kuchagua ishi upendavyo
they got a life,a gang life !
Mkuu King Kong III Ni nani huyo The Game?The Game anaonyesha sana hizo alama.
Mkuu Jile79 Alama ya uliberali wanatumia alama za FreeMason.Hivi uliberali unaingia kwenye alama ipi hapo
Kuzijua ni muhimu kwa maana tunaishi kati kati ya wahuni; itakusaidia utagundua nini kitafuata watakapoonyesheana alama unaweza kukimbia hatari mbele yako.
Kuna moja kati ya hizo mwanangu anaipenda, ni dalili za kuwa mhuni nini?
Kuna moja kati ya hizo mwanangu anaipenda, ni dalili za kuwa mhuni nini?
Naona kuna moja inafanana na alama ya chama kimoja cha siasa Tanzania