Albert Chalamila hajafanya kosa la uasi?

Albert Chalamila hajafanya kosa la uasi?

Mkuu lala kwanza. Pakikucha tutalijadili hili kwa kina
Ulimshauri vizuri. Nami ngoja nimalizie kupiga pasi shati langu la kijani. Kofia hiyo binti keshaniambia imekauka maana niliifua jana. Wacha niwahi airport kwenda kumpokea Mama. Nikitoka huko nitakuja kuchangia.
 
Chalamila ni mhuni kama wahuni wengine tu, mwacheni aje huku kwa mabeach boy tubembee naye......let them experience the difficulties for sometimes, they might learn somethin.....lazima naye ajue Bia inanunuliwaje....
Karudi tena serikalini
 
Chalamila ni mhuni kama wahuni wengine tu, mwacheni aje huku kwa mabeach boy tubembee naye......let them experience the difficulties for sometimes, they might learn somethin.....lazima naye ajue Bia inanunuliwaje....
Karudi vp?
 
Asichukuliwe poa kwani kitendo alichofanya ndugu Chalamila kina kila dalili zote kuwa sio cha bahati mbaya na hayuko peke yake.

Maongezi yake ukiyasikikiza vizuri yana kila dalili kuwa anawachochea watu wa kanda ile dhidi ya kifo cha mpendwa wetu. Bado haamini kuwa Mungu anaweza kufanya vile kwa mtu ambae ni Rais.

Chalamila anafahamu kuwa Tanzania ina kanda nyingi zikiwemo kanda za Mashariki, Kaskazini, Kati, Kuzini, Nyanda za juu Kusini, Magharibi na Kanda ya Ziwa. Alikuwa akifahamu kuwa kanda ya ziwa ilikuwa miongoni mwa kanda nchini ambazo zimerundikiwa kwa makusudi miradi mingi ya maendeleo ya matwilioni ya pesa kulinganisha na kanda nyingine nchini. Chalamila anataka kwenye miradi hiyo mama Samia asiondoe hata coma wala nukta kwenye ujenzi na utekelezwaji wake.

Chalamila inawezekana ana hasira iliyopitiliza juu ya awamu ya sita. Aliyoyasema hayakuwa kwa bahati mbaya, lazima ahojiwe zaidi ili kujua alimaanisha nini kusema pamoja na kwamba JPM amekufa lakini miradi ya kanda itatekelezwa kama ilivyo na mama Samia, huko ni kuwachonganisha wananchi wa kule na mama, maana hata JPM kuna miradi ya watangulizi wake aliifanyia tathmini ili kuona ipi aendelee nayo na ipi aicheleweshe na ipi aiache kabisa. Kwanini Chalamila anataka kuwaaminisha watu wake kuwa miradi na ahadi za JPM zitabaki palepale na vilevile kwa spidi ileile?
 
Shida ya agizo lile la rais ilikuwa uhaba wa resourceS zilizoko chini ya DC na RC kumudu kutatua kero za wananchi hukohuko mikoani. Agizo lile lingefaa kwetnye serikali za majimbo
 
Mkiambiwa tatizo ni ccm nyie hamuelewi mmekazana kujipongeza tu et Mungu kajibu maombi yetu.
 
Asichukuliwe poa kwani kitendo alichofanya ndugu Chalamila kina kila dalili zote kuwa sio cha bahati mbaya na hayuko peke yake.

Maongezi yake ukiyasikikiza vizuri yana kila dalili kuwa anawachochea watu wa kanda ile dhidi ya kifo cha mpendwa wetu. Bado haamini kuwa Mungu anaweza kufanya vile kwa mtu ambae ni Rais.

Chalamila anafahamu kuwa Tanzania ina kanda nyingi zikiwemo kanda za Mashariki, Kaskazini, Kati, Kuzini, Nyanda za juu Kusini, Magharibi na Kanda ya Ziwa. Alikuwa akifahamu kuwa kanda ya ziwa ilikuwa miongoni mwa kanda nchini ambazo zimerundikiwa kwa makusudi miradi mingi ya maendeleo ya matwilioni ya pesa kulinganisha na kanda nyingine nchini. Chalamila anataka kwenye miradi hiyo mama Samia asiondoe hata coma wala nukta kwenye ujenzi na utekelezwaji wake.

Chalamila inawezekana ana hasira iliyopitiliza juu ya awamu ya sita. Aliyoyasema hayakuwa kwa bahati mbaya, lazima ahojiwe zaidi ili kujua alimaanisha nini kusema pamoja na kwamba JPM amekufa lakini miradi ya kanda itatekelezwa kama ilivyo na mama Samia, huko ni kuwachonganisha wananchi wa kule na mama, maana hata JPM kuna miradi ya watangulizi wake aliifanyia tathmini ili kuona ipi aendelee nayo na ipi aicheleweshe na ipi aiache kabisa. Kwanini Chalamila anataka kuwaaminisha watu wake kuwa miradi na ahadi za JPM zitabaki palepale na vilevile kwa spidi ileile?
Rais anazo taarifa zote kutoka kwa mfumo wa usalama wa nchi. Unachojaribu kukifanya ni uchonganishi wa kitoto uliokosa mantiki na sababu za kina zenye ushawishi mpaka ukaweza kueleweka.

Ulichoshindwa kukijengea hoja ni kuwa Chalamila kwao ni Iringa na sio kanda ya ziwa.
 
Rais anazo taarifa zote kutoka kwa mfumo wa usalama wa nchi. Unachojaribu kukifanya ni uchonganishi wa kitoto uliokosa mantiki na sababu za kina zenye ushawishi mpaka ukaweza kueleweka.

Ulichoshindwa kukijengea hoja ni kuwa Chalamila kwao ni Iringa na sio kanda ya ziwa.
umenielewa lakini na umechangia hoja, big up. Hata Rais alimuonya kabla ya kwenda kuanza kazi, ina maana alimuadhibu kwa kosa alilofanya, amemsamehe tu kwa sababu zake mwenyewe ambazo hajaziweka wazi lakini anasema bado atazidi kumfuatilia. sasa wewe inaonekana huna unachokitetea wala kukikandamiza, neutral, ni heri ukabaki kimya
 
umenielewa lakini na umechangia hoja, big up. Hata Rais alimuonya kabla ya kwenda kuanza kazi, ina maana alimuadhibu kwa kosa alilofanya, amemsamehe tu kwa sababu zake mwenyewe ambazo hajaziweka wazi lakini anasema bado atazidi kumfuatilia. sasa wewe inaonekana huna unachokitetea wala kukikandamiza, neutral, ni heri ukabaki kimya
Unajaribu kujitetea kwa maneno mengi lakini ujumbe wa uchonganishi unamhusu mleta mada moja kwa moja.
 
Back
Top Bottom