Heparin
JF-Expert Member
- Sep 24, 2021
- 242
- 1,141
"Sisi waislamu tumepata faida kubwa kwa kipindi hiki kifupi. Dini yetu na Mungu wetu wamesaidia mmoja wa waumini wetu ameshika uongozi wa Nchi yetu. Kama mama huyu asingekuwa ametengenezwa vizuri kwenye imani na dini ya kiislamu yenye mafunzo sahihi dunia isingemuona anafaa kuwa kiongozi.
"Matarajio yangu wanaopaswa kuanza kumsema mema Rais wa Tanzania ni ninyi waislamu, wakati mwingine inashangaza sana unapokuta muislamu safi anakuwa kinara wa kumsema ovyo Rais Samia ambaye ni chimbuko la imani yenu.
Kupata vimbwanga vingine wakati wa Uchaguzi ingia hapa: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
"Mnapaswa mjivunie, mijidai na mnapaswa kumwambia Mungu kijiti hiki akishikilie vizuri kwakuwa akishindwa ni tusi kwa waislamu wote kuwa hawawezi kuongoza." - RC Chalamila
Kupata habari za mikoa yote kuhusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa soma hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Nyuzi za Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
"Matarajio yangu wanaopaswa kuanza kumsema mema Rais wa Tanzania ni ninyi waislamu, wakati mwingine inashangaza sana unapokuta muislamu safi anakuwa kinara wa kumsema ovyo Rais Samia ambaye ni chimbuko la imani yenu.
Kupata vimbwanga vingine wakati wa Uchaguzi ingia hapa: Uzi Maalum wa Vibweka na Hekaheka za wanasiasa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025
"Mnapaswa mjivunie, mijidai na mnapaswa kumwambia Mungu kijiti hiki akishikilie vizuri kwakuwa akishindwa ni tusi kwa waislamu wote kuwa hawawezi kuongoza." - RC Chalamila
Kupata habari za mikoa yote kuhusu Uchaguzi wa Serikali za Mitaa soma hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Nyuzi za Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024