pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,422
- 6,108
Ila kwenye uongozi wa waislam watu wanafaidi sana, wale wengine ni makatiliiiii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anamaanisha kwa kuwa yy mkriisto hampendi Rais huyu ni mnafiki na mchonganishi hafai kuwa kiongoziSisi waislamu tumepata faida kubwa kwa kipindi hiki kifupi. Dini yetu na Mungu wetu wamesaidia mmoja wa waumini wetu ameshika uongozi wa Nchi yetu. Kama mama huyu asingekuwa ametengenezwa vizuri kwenye imani na dini ya kiislamu yenye mafunzo sahihi dunia isingemuona anafaa kuwa kiongozi.
Matarajio yangu wanaopaswa kuanza kumsema mema Rais wa Tanzania ni ninyi waislamu, wakati mwingine inashangaza sana unapokuta muislamu safi anakuwa kinara wa kumsema ovyo Rais Samia ambaye ni chimbuko la imani yenu.
Mnapaswa mjivunie, mijidai na mnapaswa kumwambia Mungu kijiti hiki akishikilie vizuri kwakuwa akishindwa ni tusi kwa waislamu wote kuwa
Sisi hatumchagui mtu kutokana na dini yake wala kabila lake. Tunamchagua mtu ayelinda rasilimali za nchi anayechukia rushwa na wala rushwa---By NyerereSisi waislamu tumepata faida kubwa kwa kipindi hiki kifupi. Dini yetu na Mungu wetu wamesaidia mmoja wa waumini wetu ameshika uongozi wa Nchi yetu. Kama mama huyu asingekuwa ametengenezwa vizuri kwenye imani na dini ya kiislamu yenye mafunzo sahihi dunia isingemuona anafaa kuwa kiongozi.
Matarajio yangu wanaopaswa kuanza kumsema mema Rais wa Tanzania ni ninyi waislamu, wakati mwingine inashangaza sana unapokuta muislamu safi anakuwa kinara wa kumsema ovyo Rais Samia ambaye ni chimbuko la imani yenu.
Mnapaswa mjivunie, mijidai na mnapaswa kumwambia Mungu kijiti hiki akishikilie vizuri kwakuwa akishindwa ni tusi kwa waislamu wote kuwa hawawezi kuongoza.
Kumbe chalamila ni muislam?Mimi mara nyingi nasemaga muslims uwezo wao wa kufikiri ni mdogo sana,kila kitu dini inakua mbele
Kumbe chalamila ni muislam?
Kwa kweli hakutumia akili kuongea vile hadharani.Sisi hatumchagui mtu kutokana na dini yake wala kabila lake. Tunamchagua mtu ayelinda rasilimali za nchi ayechukia rushwa na wala rushwa---By Nyerere
Sasa hapa waislamu wanahusika je mkuu mbona msemaji ameropoka na sio muislam japo kazinguaMimi mara nyingi nasemaga muslims uwezo wao wa kufikiri ni mdogo sana,kila kitu dini inakua mbele
Nyimwa vyote lakini sio akiliSisi waislamu tumepata faida kubwa kwa kipindi hiki kifupi. Dini yetu na Mungu wetu wamesaidia mmoja wa waumini wetu ameshika uongozi wa Nchi yetu. Kama mama huyu asingekuwa ametengenezwa vizuri kwenye imani na dini ya kiislamu yenye mafunzo sahihi dunia isingemuona anafaa kuwa kiongozi.
Matarajio yangu wanaopaswa kuanza kumsema mema Rais wa Tanzania ni ninyi waislamu, wakati mwingine inashangaza sana unapokuta muislamu safi anakuwa kinara wa kumsema ovyo Rais Samia ambaye ni chimbuko la imani yenu.
Mnapaswa mjivunie, mijidai na mnapaswa kumwambia Mungu kijiti hiki akishikilie vizuri kwakuwa akishindwa ni tusi kwa waislamu wote kuwa hawawezi kuongoza.
Kichwa kifuniko cha mabega 🤣 ,hizi ndio hazina za CCM
Hehe 2030 wagalatia mwanzo mwisho.....tupo hapa....hii imeshahesabika awamu nyingineIla wakristo watateseka sana, kwani sioni namna samia anaacha urais kabla ya 2030, labda uhai umalizike,
Na 2030 ndio rasmi zamu ya muislamu kwani mama alikua anamalizia tu awamu ya mgalatia
Dah, kweli kazi ipo
Taabu lelelelelelle