Albert Chalamila jitokeze hadharani uwataje kwa majina Mawaziri wanaokwenda nje kukopa ili kumtoa Rais Samia 2025

Albert Chalamila jitokeze hadharani uwataje kwa majina Mawaziri wanaokwenda nje kukopa ili kumtoa Rais Samia 2025

Shakari

Senior Member
Joined
Jul 6, 2022
Posts
188
Reaction score
570
Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Albert John Chalamila umemsikia live Mstaafu Kikwete akikuita muongo kwa kauli yako kuhusu Mawaziri kuacha majukumu ya kumsaidia Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuhangaika nje ya nchi kusaka fedha za kuja kumng'oa 2025.

Kwa heshima na unyenyevu mkubwa na kwa kuwa wewe ndio kiongozi wa kwanza Tanzania kujitokeza hadharani kuuarifu umma juu ya mawaziri hao na kwa kuwa Mstaafu JK amekuita muongo nakuomba kwa muda na nyakati unazoona zinafaa jitokeze hadharani uwataje mawazi wote kwa majina yao matatu na wizara wanazoongoza ili watanzania wote wajue na tuwapime kama kweli wanayamudu majukumu ya Urais? na tuufunge rasmi mjadala huu.

Tukiuacha mjadala huu uendelee hivi hivi unaweza kuleta mgawanyiko mkubwa kati ya Chawa wa JK na Chawa wa Mama Samia na kusababisha Rais ashindwe kuongoza nchi kutokana na chokochokozo hizo.

Alamsikh!
 
Kikwete anajua wameumbuliwa na safu yake. Wanachofanya ni kumtisha tisha huyu bibi ili akubaliane na mambo yao ya hovyo.

Kama ulimwelewa mzee makamba alisema hata akifa samia atapatikana mwingine. Maana yake akienda kinyume na wao watamfanya kitu kibaya.

Kifupi aendelee kuachia masega asali iendelee kuwamwagikia.
 
Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Albert John Chalamila umemsikia live Mstaafu Kikwete akikuita muongo kwa kauli yako kuhusu Mawaziri kuacha majukumu ya kumsaidia Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuhangaika nje ya nchi kusaka fedha za kuja kumng'oa 2025.

Kwa heshima na unyenyevu mkubwa na kwa kuwa wewe ndio kiongozi wa kwanza Tanzania kujitokeza hadharani kuuarifu umma juu ya mawaziri hao na kwa kuwa Mstaafu JK amekuita muongo nakuomba kwa muda na nyakati unazoona zinafaa jitokeze hadharani uwataje mawazi wote kwa majina yao matatu na wizara wanazoongoza ili watanzania wote wajue na tuwapime kama kweli wanayamudu majukumu ya Urais? na tuufunge rasmi mjadala huu.

Tukiuacha mjadala huu uendelee hivi hivi unaweza kuleta mgawanyiko mkubwa kati ya Chawa wa JK na Chawa wa Mama Samia na kusababisha Rais ashindwe kuongoza nchi kutokana na chokochokozo hizo.

Alamsikh!
Alichoongea Chalamira ,Ni sahii kwa kuwa wakati anaongea ndio kipindi ambacho vijana hao wa Mzee wa Msoga walikuwa wameanza kampeni za kumungoa wazir mkuu.Utakumbuka kipindi fulani hapa katikati walikuwa wanatumia mpaka wanaharakati wakina Magoti kumngoa Majaliwa.Mzee Kikwete anabisha na anatishia watu kuwahoji na kuwachukulia hatua.Mzee Kikwete inabidi aelewe kuwa kwa sasa Watanzania tuna akili na tunamwangalia tu.
 
Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Albert John Chalamila umemsikia live Mstaafu Kikwete akikuita muongo kwa kauli yako kuhusu Mawaziri kuacha majukumu ya kumsaidia Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuhangaika nje ya nchi kusaka fedha za kuja kumng'oa 2025.

Kwa heshima na unyenyevu mkubwa na kwa kuwa wewe ndio kiongozi wa kwanza Tanzania kujitokeza hadharani kuuarifu umma juu ya mawaziri hao na kwa kuwa Mstaafu JK amekuita muongo nakuomba kwa muda na nyakati unazoona zinafaa jitokeze hadharani uwataje mawazi wote kwa majina yao matatu na wizara wanazoongoza ili watanzania wote wajue na tuwapime kama kweli wanayamudu majukumu ya Urais? na tuufunge rasmi mjadala huu.

Tukiuacha mjadala huu uendelee hivi hivi unaweza kuleta mgawanyiko mkubwa kati ya Chawa wa JK na Chawa wa Mama Samia na kusababisha Rais ashindwe kuongoza nchi kutokana na chokochokozo hizo.

Alamsikh!

Huyo Chalamila huwa ni muongo. Umesahau alisema Rais anapiga kazi na waliongea kwa simu. Kumbe mtu kashafariki zamani.
 
Alichoongea Chalamira ,Ni sahii kwa kuwa wakati anaongea ndio kipindi ambacho vijana hao wa Mzee wa Msoga walikuwa wameanza kampeni za kumungoa wazir mkuu.Utakumbuka kipindi fulani hapa katikati walikuwa wanatumia mpaka wanaharakati wakina Magoti kumngoa Majaliwa.Mzee Kikwete anabisha na anatishia watu kuwahoji na kuwachukulia hatua.Mzee Kikwete inabidi aelewe kuwa kwa sasa Watanzania tuna akili na tunamwangalia tu.

Chalamila anaongelea Rais kung'olewa na waziri sio waziri mkuu.
 
Kikwete anajua wameumbuliwa na safu yake. Wanachofanya ni kumtisha tisha huyu bibi ili akubaliane na mambo yao ya hovyo.

Kama ulimwelewa mzee makamba alisema hata akifa samia atapatikana mwingine. Maana yake akienda kinyume na wao watamfanya kitu kibaya.

Kifupi aendelee kuachia masega asali iendelee kuwamwagikia.

Kila kauli tunaitafsiri kwa matakwa yetu. Ila mzee ana msimamo, pamoja na kelele nyingi kuhusu kauli yake hajaomba msamaha, sio akina ndugai walitishiwa kidogo wakaomba msamaha live.
 
Kikwete anajua wameumbuliwa na safu yake. Wanachofanya ni kumtisha tisha huyu bibi ili akubaliane na mambo yao ya hovyo.

Kama ulimwelewa mzee makamba alisema hata akifa samia atapatikana mwingine. Maana yake akienda kinyume na wao watamfanya kitu kibaya.

Kifupi aendelee kuachia masega asali iendelee kuwamwagikia.
Uzushi tu...
 
Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Albert John Chalamila umemsikia live Mstaafu Kikwete akikuita muongo kwa kauli yako kuhusu Mawaziri kuacha majukumu ya kumsaidia Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuhangaika nje ya nchi kusaka fedha za kuja kumng'oa 2025.

Kwa heshima na unyenyevu mkubwa na kwa kuwa wewe ndio kiongozi wa kwanza Tanzania kujitokeza hadharani kuuarifu umma juu ya mawaziri hao na kwa kuwa Mstaafu JK amekuita muongo nakuomba kwa muda na nyakati unazoona zinafaa jitokeze hadharani uwataje mawazi wote kwa majina yao matatu na wizara wanazoongoza ili watanzania wote wajue na tuwapime kama kweli wanayamudu majukumu ya Urais? na tuufunge rasmi mjadala huu.

Tukiuacha mjadala huu uendelee hivi hivi unaweza kuleta mgawanyiko mkubwa kati ya Chawa wa JK na Chawa wa Mama Samia na kusababisha Rais ashindwe kuongoza nchi kutokana na chokochokozo hizo.

Alamsikh!
Kikwete ndiyo anawezakuwa mwongo anatumia ukubwa kumzima rc asiendelee kumwaga maji.
 
jk alipanic yalimtoka maneno lundo kwa jazba kuu 😀 kumbe Chalamila aliwashika pabaya...maneno kama porojo....uongo...waongo yalitamba mara waitwe wasutwe 😃 halafu hapo anakwambia hakujipanga kuongea angejipanga ingekuwa hatari.
 
Kila kauli tunaitafsiri kwa matakwa yetu. Ila mzee ana msimamo, pamoja na kelele nyingi kuhusu kauli yake hajaomba msamaha, sio akina ndugai walitishiwa kidogo wakaomba msamaha live.
aliombewa msamaha kijanja kwa kueleza umma ulimi uliteleza
 
Back
Top Bottom