Albert Chalamila jitokeze hadharani uwataje kwa majina Mawaziri wanaokwenda nje kukopa ili kumtoa Rais Samia 2025


Huyo atatumbuliwa.
 
aliombewa msamaha kijanja kwa kueleza umma ulimi uliteleza

Yes aliombewa, ila yeye hakuomba msamaha. Akina ndugai waliongea vitu vya maana ila waliomba radhi, ila mzee karopoka kimya hakuna aliyemnyoshea kidole zaidi ya CHADEMA heche na Susan kiwanga.
 
Yes aliombewa, ila yeye hakuomba msamaha. Akina ndugai waliongea vitu vya maana ila waliomba radhi, ila mzee karopoka kimya hakuna aliyemnyoshea kidole zaidi ya CHADEMA heche na Susan kiwanga.
issue ya ndugai iligonga ikulu moja kwa moja wapambe wakupiga kelele na kujipendekez wakawa wengi ndio mana shinikizo la kuomba msamaha likawa juu tofauti kabisa na issue ya mswahili maamba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…